Tulishahama huko wenzio siku nyiiingiiJamani hawa wanaboa unalipa kifurushi kinakaa wiki 2 yaani sijui mpaka uwapigie simu
Local channel ndo mmepotezea kbs halafu kingamuzi chenu mwakiuza 71000
Hovyo sana
Halafu mmeingia ubia na tbc mnatumia mitambo ya kodi za watz huku mnatukatia local channel
Jipangeni upya
Hadi continental majanga wanawashinda
UMEME 15000mkuu unalalamika nini sasa??
wiki 2 = sh 6,000
mwezi = sh 12,000
sawa tu
Mimi nakitaka nakiomba bure kama ulivyosemasina hamu kabisa na startimes , na mtu akitaka hicho king'amuzi nampa bure.Nilikuwa nalipa 30,000/ vipindi vya ovyo kabisa siku zenyewe baada ya kumi wamekata mpaka TBC na kukuachia TV 1 pekee. sasa niko Taifa kubwa AZAM TV nalipa 28,000/ vipindi bwerere na siku mpaka unapata na za motisha.
muhimu ni kupata basic needsUMEME 15000
MAJI 8000
KODI 25000
KINGAMUZI 12000
USAFI 2000
SIJALI VOCHA SABUNI NKB MAPATO LAKI NITAFIKA KWELI?
Mbona hata azam ni hivyo hivyo endapo kifurushi kikiisha unabakiwa na TBC na TV 1 pekee kama free channel kwa sasa.local channel inabaki Tbccm na tv1 hili liking'amuzi shida tupu
Mkuu unawezaje kuset kifurushi cha mambo?Angalia ulichagua kifurush gan ..usikute umejiset kwenye uhuru ww unaweka wlfu 12 lazima uone wik mbili badil kwanza kingamuz chake kiwe cha mambo
Njoo nkuuzie changu kwa bei nafuuDstv bei gan joh
Njoo Chato mkuu Mkoa wa Geita uchukue .Mimi nakitaka nakiomba bure kama ulivyosema
Nna TV tuu sina king'amuzi ili na mimi nijionee kero zake
Kifurushi chanyota sh9000 dishMkuu Tumia Kifurushi Cha Nyota Unalipa Tsh 6000/- Unatazama Kwa Mwezi Mmoja Tembelea Kwa Wakala Wao Ama Piga Simu Startimes
Wale walio nunua vingamuz vyamwanzo huwa loco Chanel hawakatuna bahati sana siku hizi hawabakishi
Hahaha afu hadi kunipigia simu wameshaacha kuna siku niliwaambia nishatupa liking'amuzi lenuuna bahati sana siku hizi hawabakishi