Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

Maoni:
Msimu huu wa corona watoto wetu wapo bure majumbani,tuwekeeni vipindi vyenye maudhui ya watoto wajisomee maana hao ndo wanashinda na tv kuliko kutuwekea tamthilia ambazo zinawaharibu kimaadili kwa namna moja ama nyingine. Maana juzi hapa nilirudi nyumbani mchana,

mara nimeketi tu watoto wanaangalia tamthilia inaitwa LOVE TO LAST, ghafla kilichooneshwa nilitamani ningekua na rimoti karibu. Hebu tuhurumieni wazazi. StarTimes Tanzania,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa wale ambao mpo maeneo ya Kahama na Dodoma Mjini au mna watu walio katika maeneo hayo naomba mnielekeze bei ya flat screen inch 24 za:
-LG
-SAMSUNG
-STARX
-ABODER
 
Hivi Startime kwanini munatunyanyapa wenye ving'amuzi vya dishi dhidi ya ving'amuzi vya antenna wenye antena wanapata clouds sie wenye madishi hamujaturudishia clouds na king'amuzi cha antenna ni bei ndogo sana kuliko cha sie wenye dish lakini bado sie wenye dish ambalo ni labei juu hutuipati clouds tupeni sababu ya kwanini ipo hivyo?

ASANTE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maoni:
Msimu huu wa corona watoto wetu wapo bure majumbani,tuwekeeni vipindi vyenye maudhui ya watoto wajisomee maana hao ndo wanashinda na tv kuliko kutuwekea tamthilia ambazo zinawaharibu kimaadili kwa namna moja ama nyingine. Maana juzi hapa nilirudi nyumbani mchana,

mara nimeketi tu watoto wanaangalia tamthilia inaitwa LOVE TO LAST, ghafla kilichooneshwa nilitamani ningekua na rimoti karibu. Hebu tuhurumieni wazazi. StarTimes Tanzania,

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nililipa kifurushi cha Uhuru 28/03/2020 leo 15/04/2020 ninapata channel za local tu. Nimeulizia salio nimejibiwa decoder yangu haijasajiliwa. Naomba utaratibu hii decoder nilinunua zaidi ya miaka 15 iliyopita.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanajibu kweli hawa? Mimi nimenunua king"amuzi leo lakini kwenye kusajili imekuwa shida tokea asubuhi au hawataki wateja wapya? Sijui nikitupie wapi ? Wenzenu wapo fasta.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wanaJamiiForums

Je, una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?

Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.

1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!

STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.

kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800

Ahsanteni sana na karibuni nyote.
Haujafanikiwa kusajiliwa,Namba ya dekoda uliyo ingiza sio sahihi,Tafadhali ingiza tarakimu 17 za namba ya dekoda na ujaribu tena au piga 0764700800. Mimi nipo vwawa jana asubuhi nilinunua Tv kutoka kwa wakala wa starTimes smart card no.02155900079 na decoda no.37649194265118730.mpaka muda huu channel hazijafunguka isipokuwa ya matangazo tu naomba msaada wako nikimpigia wakala anasema naye anawapigia wakala aliyepo mbeya!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huduma zenu zimekuwa hovyo kabisa. Ukipiga simu unapewa maelekezo, ukibahatika kuongea na mhudumu anakupa majibu ya mkato, mkato ukiendelea kuhoji anakata simu. Ukituma SMS majibu ya ajabu ajabu. Kazi imewashinda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkipigiwa simu mna majibu mabaya, king'amuzi changu sipati local Chanel zaidi ya tbc1,

Kuna fundi kaniambia nikienda kwenye duka la star times tatozwa 40,000 ili nipate local chanels bure pale kifurushi kikiisha, Naomba kujua kama ni kweli. Niliwapigia kuwauliza mkajibu "Nenda dukani utajua hukohuko"

Ushauri; kama ni kweli basi muuze king'amuzi 139,000 plus bei ya kulipia ili upate local Chanel's na sio 99,000.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Startimes nimeshawachoka, sijajua maana yenu ilikuwa ipi ya kusema chanel za ndani ni bure!
 
Back
Top Bottom