NI MTAZAMO TU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 1,203
- 999
Mimi nipo Maeneo ya Rombo kibo King'amuzi chenu ndio balaa tupu heby fanyeni jima basi maana sio tatizo la ITV channel tu bali ni karibu zote zinascrach mbayaaa..
Habari zenu wanaJamiiForums
Je una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?
Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie? Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi
1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi?
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!
STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.
Ahsanteni sana na karibuni nyote
Mimi naitwa Lupakisyo Mwaisumo, nimefanya miamala mitatu, kulipia kifurushi cha DSTV lakini kwa bahati mbaya namba niliyokuwa nalipia ilikosewa, badala ya 42793676695, nilikuwa naweka 4279367669 , yaani namba 5 ya mwiso sikuiweka, hivyo tarehe 1/1/2015 mnamo saa 1:07 nilipoteza Sh. 7,000/=, tarehe 2/1/2015 saa 11:55 asubuhi nikaipoteza tena sh 10,000/=. Nimekuja kugundua tena nilipofanya muamala tarehe 2/2/2015 wa Sh. 17,500/= saa 2:09 usiku. Nimewapigia watu wa Tigo pesa kunirudishia hizo fedha zangu, wakanielekeza kuwanapaswa kuongea na nyie watu wa Startimes. hivyo naomba kusaidiwa katika tatizo hili. namba niliyoitumia kulipia King'amuzi hiki ni 0713874005, na smartcard inamilikiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo, mkoani Iringa.
Hivi watu hamuoni dstv au mnapenda shida?
Nauliza kuhusu hiki king'amuz chenu kipya ni sh 4000 au?na channel zip zinaonyeshwa.asante
Mimi naitwa Lupakisyo Mwaisumo, nimefanya miamala mitatu, kulipia kifurushi cha DSTV lakini kwa bahati mbaya namba niliyokuwa nalipia ilikosewa, badala ya 42793676695, nilikuwa naweka 4279367669 , yaani namba 5 ya mwiso sikuiweka, hivyo tarehe 1/1/2015 mnamo saa 1:07 nilipoteza Sh. 7,000/=, tarehe 2/1/2015 saa 11:55 asubuhi nikaipoteza tena sh 10,000/=. Nimekuja kugundua tena nilipofanya muamala tarehe 2/2/2015 wa Sh. 17,500/= saa 2:09 usiku. Nimewapigia watu wa Tigo pesa kunirudishia hizo fedha zangu, wakanielekeza kuwanapaswa kuongea na nyie watu wa Startimes. hivyo naomba kusaidiwa katika tatizo hili. namba niliyoitumia kulipia King'amuzi hiki ni 0713874005, na smartcard inamilikiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo, mkoani Iringa.
cm yangu ni aina ya startimes model p40 nahitaj kubadilisha hii version ya operating system niweke version nyingine ntafanyaje?
Fredy nipo dar 0759959643
Naomba ufafanuzi kwa mtu anae ishi maeneo ya tukuyu-mbeya je king'amzi kinaonesha vizuri maana naona huku mabonde mengi sana?
Habari zenu wanaJamiiForums
Je una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?
Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie? Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi
1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi?
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!
STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.
Ahsanteni sana na karibuni nyote