Startimes ni wezi wa vifurushi, TCRA wachukuleni hatua

Mie sijakilipia nakaribia mwaka, walikuwa wananipigia simu mara ya mwisho nikawaambia wasinisumbue kama wanaitaka waje waing'oe waondoke nayo.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Njooni dstv. Mimi dish la startimes nilishalishusha nikaliweka jiko la nje huko hata sijui kama zima... hawa startimes ni matapeli haswa
 
  • Thanks
Reactions: amu
Yameshanikuta sana hayo ya kifurushi cha mwezi kinakata ndani ya wiki 2. Nimeamua kuachana nao wezi wakubwa hao
Hawa jamaa ni wezi sio siri jana nilisema ngoja nilipie kifurushi cha cha siku ambacho ni masaa 24

Nililipia jana saa 12 na dakika 44 cha ajabu channel wakaja kunifungulia saa 2 usiku tena baada ya kupiga simu mara mbili

Cha ajabu imefika leo saa 6 kamili mchana wakakata! Nikiwapigia wananiambia eti oooh ukitaka kikae lipa mapema!nikamuuliza huyo customer care wao anajua maana ya siku kweli au anaongea tu?

Akaanza kumumunya maneno nikampa makavu yake na hiyo startimes yake nikakata simu

Kupitia comments za watumiaji mtandaoni wanalalamika jamaa wanaibia wateja vifurushi, Kifurushi unalipa elfu 11 kwa mwezi kinakaa nusu week 2 tu huo si wizi jamani?Hawa startimes nashangaa kwanini TCRA wanawaacha watuchezee namna hii
 
  • Thanks
Reactions: amu
habari yako, pole sana kwa usumbufu ulioupata!

tafadhari tambua kwamba tunamifumo ya malipo ambayo ni rafiki na hainashida yoyote.

kwanza kabisa tambua kuwa kupitia startimes pekee unaweza kufanya malipo ya hata ya siku moja, wiki moja au malipo ya mwezi mmoja. Pili unapofanya malipo yako huduma itarejea ndani ya dakika 10 na endapo utachelewa kupata huduma basi tambua kuwa kutakuwa na tatizo katika king'amuzi chako. Endapo kadi yako yaijawekwa vizuri katika king'amuzi chako au kama unapokea mawimbi hafifu yanaweza pelekea kuchelewa kupata huduma kwa muda muafaka.

Pia huduma yetu ya malipo ya siku yanautaratibu ambao ni rafiki kwa mteja. kumbuka endapo ukawa umefanya malipo lakini tatizo likawa ni kadi yako haijawekwa vizuri au unapokea mawimbi hafifu yakupasa kutambua kuwa kifurushi chako kitakwisha kadili ya muda wa kifurushi husika. Hii ni sawa na kununua vocha ya simu na kujiunga bando kisha simu ikaharibika.

tafadhari unaweza kututumia namba za kao za mawasiliano kwa maelezo zaidi. Ahsante
Kwanini mnakata local channel??
Mbona Azm hawakat??
Yani kifurush kikikata tu basi ubabakiwa na TBC tu!!!!!
 
Mbona mnateseka na hao wachina na mbia wao? Kuna Azam kiboko na DSTV kwa kiasi chake. Hizo zinanitosha. Startimes na decoder nilitupa kabisa.
 
habari yako, pole sana kwa usumbufu ulioupata!

tafadhari tambua kwamba tunamifumo ya malipo ambayo ni rafiki na hainashida yoyote.

kwanza kabisa tambua kuwa kupitia startimes pekee unaweza kufanya malipo ya hata ya siku moja, wiki moja au malipo ya mwezi mmoja. Pili unapofanya malipo yako huduma itarejea ndani ya dakika 10 na endapo utachelewa kupata huduma basi tambua kuwa kutakuwa na tatizo katika king'amuzi chako. Endapo kadi yako yaijawekwa vizuri katika king'amuzi chako au kama unapokea mawimbi hafifu yanaweza pelekea kuchelewa kupata huduma kwa muda muafaka.

Pia huduma yetu ya malipo ya siku yanautaratibu ambao ni rafiki kwa mteja. kumbuka endapo ukawa umefanya malipo lakini tatizo likawa ni kadi yako haijawekwa vizuri au unapokea mawimbi hafifu yakupasa kutambua kuwa kifurushi chako kitakwisha kadili ya muda wa kifurushi husika. Hii ni sawa na kununua vocha ya simu na kujiunga bando kisha simu ikaharibika.

tafadhari unaweza kututumia namba za kao za mawasiliano kwa maelezo zaidi. Ahsante

Mnazingua, mimi kila ikifika saa saba usiku netweork inakata, kurudi ni mpaka saa 12. Hiyo ni kila siku .
 
Ndio na kilikaa only two weeks

Walibadili bei za vifurushi. Cha Tshs. 18000 ni Tshs. 20000 kwa sasa. Ukilipa 18,000 baadala ya hiyo 20,000 kifurushi kinakaa siku 17 tu. Mi mwenyewe walinipiga hivo hivo kama mara mbili mpaka nilivowapigia. Waliniboa sana!
 
  • Thanks
Reactions: amu
habari yako, pole sana kwa usumbufu ulioupata!

tafadhari tambua kwamba tunamifumo ya malipo ambayo ni rafiki na hainashida yoyote.

kwanza kabisa tambua kuwa kupitia startimes pekee unaweza kufanya malipo ya hata ya siku moja, wiki moja au malipo ya mwezi mmoja. Pili unapofanya malipo yako huduma itarejea ndani ya dakika 10 na endapo utachelewa kupata huduma basi tambua kuwa kutakuwa na tatizo katika king'amuzi chako. Endapo kadi yako yaijawekwa vizuri katika king'amuzi chako au kama unapokea mawimbi hafifu yanaweza pelekea kuchelewa kupata huduma kwa muda muafaka.

Pia huduma yetu ya malipo ya siku yanautaratibu ambao ni rafiki kwa mteja. kumbuka endapo ukawa umefanya malipo lakini tatizo likawa ni kadi yako haijawekwa vizuri au unapokea mawimbi hafifu yakupasa kutambua kuwa kifurushi chako kitakwisha kadili ya muda wa kifurushi husika. Hii ni sawa na kununua vocha ya simu na kujiunga bando kisha simu ikaharibika.

tafadhari unaweza kututumia namba za kao za mawasiliano kwa maelezo zaidi. Ahsante
Majibu hayakidhi kiwango ,kwa kifupi kampuni lenu Ni wezi kupita maelekezo mliyopewa na Tcra.
Galama Ni kubwa alafu channel zenu zote za kipuuzi, mteja analipia TSH 11000 alafu channel hazizidi 15 zinazokamata nazo Ni za kichina. Soon ungo wenu nageuza tyle la kuchezea watoto

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Channel karibu zote ni st st st st tu machannel ya kichina tu
Majibu hayakidhi kiwango ,kwa kifupi kampuni lenu Ni wezi kupita maelekezo mliyopewa na Tcra.
Galama Ni kubwa alafu channel zenu zote za kipuuzi, mteja analipia TSH 11000 alafu channel hazizidi 15 zinazokamata nazo Ni za kichina. Soon ungo wenu nageuza tyle la kuchezea watoto

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Dish la Startimes kwangu ajili ya local channels ambazo ni bure. Zikirudishwa DSTV ndo inakua bye bye kwa Startimes
 
habari yako, pole sana kwa usumbufu ulioupata!

tafadhari tambua kwamba tunamifumo ya malipo ambayo ni rafiki na hainashida yoyote.

kwanza kabisa tambua kuwa kupitia startimes pekee unaweza kufanya malipo ya hata ya siku moja, wiki moja au malipo ya mwezi mmoja. Pili unapofanya malipo yako huduma itarejea ndani ya dakika 10 na endapo utachelewa kupata huduma basi tambua kuwa kutakuwa na tatizo katika king'amuzi chako. Endapo kadi yako yaijawekwa vizuri katika king'amuzi chako au kama unapokea mawimbi hafifu yanaweza pelekea kuchelewa kupata huduma kwa muda muafaka.

Pia huduma yetu ya malipo ya siku yanautaratibu ambao ni rafiki kwa mteja. kumbuka endapo ukawa umefanya malipo lakini tatizo likawa ni kadi yako haijawekwa vizuri au unapokea mawimbi hafifu yakupasa kutambua kuwa kifurushi chako kitakwisha kadili ya muda wa kifurushi husika. Hii ni sawa na kununua vocha ya simu na kujiunga bando kisha simu ikaharibika.

tafadhari unaweza kututumia namba za kao za mawasiliano kwa maelezo zaidi. Ahsante
Tokeni na ujinga wenu hapa, waongo na wezi wakubwa nyie. Labda mnapata jeuri sababu serikali ina hisa kiasi kwamba tcra haichukulii uzito malalamiko ya wateja kuhusu ubovu wa huduma zenu.
Mimi nina ushahidi, niliwahi lipia subscriptions na nikapata huduma baada ya siku tano tena kwa kupiga simu zaidi ya mara 10 ndani ya siku tano na kutumia dakika zaidi ya 80. Upuuzi kwenye biashara uria nani anataka, yaani nyie kwenu mteja ni fala. Nonsense.
 
Huu ni utetezi usiokuwa na mashiko kabisa ! maelezo ya mteja yapo clear kabisa na hajatoa statement kuwa kuwa king'amuzi chake kilikuwa kibovu.Jibunl swali la kiujumla kwamba kwanini mnakata king'amuzi before muda hauijaisha? na hili ni lalamiko la tuliowengi mkuu.Maana hata mimi imenitokea mara 2 sasa
habari yako, pole sana kwa usumbufu ulioupata!

tafadhari tambua kwamba tunamifumo ya malipo ambayo ni rafiki na hainashida yoyote.

kwanza kabisa tambua kuwa kupitia startimes pekee unaweza kufanya malipo ya hata ya siku moja, wiki moja au malipo ya mwezi mmoja. Pili unapofanya malipo yako huduma itarejea ndani ya dakika 10 na endapo utachelewa kupata huduma basi tambua kuwa kutakuwa na tatizo katika king'amuzi chako. Endapo kadi yako yaijawekwa vizuri katika king'amuzi chako au kama unapokea mawimbi hafifu yanaweza pelekea kuchelewa kupata huduma kwa muda muafaka.

Pia huduma yetu ya malipo ya siku yanautaratibu ambao ni rafiki kwa mteja. kumbuka endapo ukawa umefanya malipo lakini tatizo likawa ni kadi yako haijawekwa vizuri au unapokea mawimbi hafifu yakupasa kutambua kuwa kifurushi chako kitakwisha kadili ya muda wa kifurushi husika. Hii ni sawa na kununua vocha ya simu na kujiunga bando kisha simu ikaharibika.

tafadhari unaweza kututumia namba za kao za mawasiliano kwa maelezo zaidi. Ahsante
 
STARTIMES Mungu anawaona,niliwapigia simu kuwaomba mfungue FTA CHANNELS kwenye kisimbuzi changu na nyinyi mkanielekeza niende ofisi yenu iliyo jiran,nmefka pale mnaniambia niwape elfu 44 ndo mnifungulie FTA channels!!!basi nmekata shauri bora nikiweke stoo,local channels zishakuwa anasa!!!

ofisi niloenda
mbeya mjini,uhindini opposite na posta.
 
Back
Top Bottom