toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,628
Hawa jamaa ni wezi sio siri jana nilisema ngoja nilipie kifurushi cha cha siku ambacho ni masaa 24
Nililipia jana saa 12 na dakika 44 cha ajabu channel wakaja kunifungulia saa 2 usiku tena baada ya kupiga simu mara mbili
Cha ajabu imefika leo saa 6 kamili mchana wakakata! Nikiwapigia wananiambia eti oooh ukitaka kikae lipa mapema!nikamuuliza huyo customer care wao anajua maana ya siku kweli au anaongea tu?
Akaanza kumumunya maneno nikampa makavu yake na hiyo startimes yake nikakata simu
Kupitia comments za watumiaji mtandaoni wanalalamika jamaa wanaibia wateja vifurushi, Kifurushi unalipa elfu 11 kwa mwezi kinakaa nusu week 2 tu huo si wizi jamani?Hawa startimes nashangaa kwanini TCRA wanawaacha watuchezee namna hii
Nililipia jana saa 12 na dakika 44 cha ajabu channel wakaja kunifungulia saa 2 usiku tena baada ya kupiga simu mara mbili
Cha ajabu imefika leo saa 6 kamili mchana wakakata! Nikiwapigia wananiambia eti oooh ukitaka kikae lipa mapema!nikamuuliza huyo customer care wao anajua maana ya siku kweli au anaongea tu?
Akaanza kumumunya maneno nikampa makavu yake na hiyo startimes yake nikakata simu
Kupitia comments za watumiaji mtandaoni wanalalamika jamaa wanaibia wateja vifurushi, Kifurushi unalipa elfu 11 kwa mwezi kinakaa nusu week 2 tu huo si wizi jamani?Hawa startimes nashangaa kwanini TCRA wanawaacha watuchezee namna hii