toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Hivi TCRA mpo kweli? TCRA mpo kweli? Ninaona mkiyashughulikia makampuni ya simu kisawa sawa mnayaacha haya makampuni ya visimbuzi yakiwanyanyasa wateja tu
Mfano nzuri ni hii kampuni ya StarMedia wanaomiliki visimbusi vya Startimes hawa kwanza hawaeleweki na wanaibia wateja
Kwanza kabisa vifurushi vya siku inafahamika siku ina masaa 24 lakini wao wameamua kufanya nusu siku mfano ukilipa 3600 kifurushi cha siku ukilipa usiku saa 5 ikifika kesho yake saa 6 mchana washakata huo si wizi huo?
Vifurushi vya mwezi havieleweki wanaweka huduma kijanja janja na kihuni huni ili waibie wateja mfano kifurushi cha nyota hakipo kwenye menyu yao ya malipo kwahiyo ukilipa elfu 11 yako usishangaa kikakaa week tu wakakata ukipiga wanakujibu kwa jeur kwamba kifurush hicho lazima upige simu uwaombe kikae mwezi huo si wizi huo
Juzi mmewapiga makampuni ya simu faini kwa kushindwa kufafanua maudhui vizuri naombeni na hawa wapigwe faini kubwa ili iwe funzo maana haiwezekani wacheze na kuibia wateja
Kingine ni suala la kupandisha vifurushi hovyo hovyo tu japo hili halihusu sana kuzungumza ila inawezekana vipi miaka miwili tu kifurushi kipande toka 4000 hadi 9000?... toka 6000 hadi 11000?sasa hapo inamaana ifikapo 2022 vifurushi vyao vitakua vishafika 30000 kwa kifurushi cha chini?
Wenzao wanajitahidi kushuka wao wanapanda tu
Startimes hichi kiburi chenu nawaambia kitakuja kuwashusha daima na mutaanguka chini moja moja jifunzeni kwa airtel enzi zile wakijiita celtel sahv wako wapi?
Jifunzeni kwa continental decoder sahivi washakufa kifo cha mende
Startimes mmekuwa ni watu wa kutoa channels hasa zile ambazo ndo nyie mnacopy huko tamthilia ili kuwazuia watu wasifahamu chimbo mnaloenda kucopy tamthilia
Mfano nzuri ni hii kampuni ya StarMedia wanaomiliki visimbusi vya Startimes hawa kwanza hawaeleweki na wanaibia wateja
Kwanza kabisa vifurushi vya siku inafahamika siku ina masaa 24 lakini wao wameamua kufanya nusu siku mfano ukilipa 3600 kifurushi cha siku ukilipa usiku saa 5 ikifika kesho yake saa 6 mchana washakata huo si wizi huo?
Vifurushi vya mwezi havieleweki wanaweka huduma kijanja janja na kihuni huni ili waibie wateja mfano kifurushi cha nyota hakipo kwenye menyu yao ya malipo kwahiyo ukilipa elfu 11 yako usishangaa kikakaa week tu wakakata ukipiga wanakujibu kwa jeur kwamba kifurush hicho lazima upige simu uwaombe kikae mwezi huo si wizi huo
Juzi mmewapiga makampuni ya simu faini kwa kushindwa kufafanua maudhui vizuri naombeni na hawa wapigwe faini kubwa ili iwe funzo maana haiwezekani wacheze na kuibia wateja
Kingine ni suala la kupandisha vifurushi hovyo hovyo tu japo hili halihusu sana kuzungumza ila inawezekana vipi miaka miwili tu kifurushi kipande toka 4000 hadi 9000?... toka 6000 hadi 11000?sasa hapo inamaana ifikapo 2022 vifurushi vyao vitakua vishafika 30000 kwa kifurushi cha chini?
Wenzao wanajitahidi kushuka wao wanapanda tu
Startimes hichi kiburi chenu nawaambia kitakuja kuwashusha daima na mutaanguka chini moja moja jifunzeni kwa airtel enzi zile wakijiita celtel sahv wako wapi?
Jifunzeni kwa continental decoder sahivi washakufa kifo cha mende
Startimes mmekuwa ni watu wa kutoa channels hasa zile ambazo ndo nyie mnacopy huko tamthilia ili kuwazuia watu wasifahamu chimbo mnaloenda kucopy tamthilia