toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Umekuja mtindo mpya wa wizi unaofanywa na kampuni ya Kichina ya StarTimes hadi kero.
Sasa hivi wengi wanaibiwa sana unalipa kifurushi cha mwezi kinakaa siku 7 tu
Unalipa kifurushi cha siku usiku wa saa 3 kinaisha asubuhi saa 5 huu wizi umethiri jamani naomba serikali iwachukulie hatua hawa watu wamezidi khaaa!
Hii ni mara ya pili wananiibia tena ukipiga hupewi msaada wowote ule zaidi ya visababu vya kijinga tu
Hebu fikiria unalipia shilingi 21000 cha mwezi halafu kinakaa siku 7 tu!
Hebu fikiria unalipia cha 36000 kinakaa siku 7 tu kinakatwa daaah.
Kazi yao ni kupandisha vifurushi hovyo hovyo tu bila utaratibu miaka miwili tu washapandisha vifurushi mfano cha nyota 4000 mwaka juzi leo hii ni 9000.
Cha dish nyota 6000 hadi 11000 ndani ya miaka miwili tu washafika huku wakati wenzao wanapunguza wao ni kupanda tu huku huduma zikiwa ni mbovu na wezi wa vifurushi!
Nimeboeka sana nalitupa kopo lenu huko ninunue azam au zuku nishachoka wizi....
Sasa hivi wengi wanaibiwa sana unalipa kifurushi cha mwezi kinakaa siku 7 tu
Unalipa kifurushi cha siku usiku wa saa 3 kinaisha asubuhi saa 5 huu wizi umethiri jamani naomba serikali iwachukulie hatua hawa watu wamezidi khaaa!
Hii ni mara ya pili wananiibia tena ukipiga hupewi msaada wowote ule zaidi ya visababu vya kijinga tu
Hebu fikiria unalipia shilingi 21000 cha mwezi halafu kinakaa siku 7 tu!
Hebu fikiria unalipia cha 36000 kinakaa siku 7 tu kinakatwa daaah.
Kazi yao ni kupandisha vifurushi hovyo hovyo tu bila utaratibu miaka miwili tu washapandisha vifurushi mfano cha nyota 4000 mwaka juzi leo hii ni 9000.
Cha dish nyota 6000 hadi 11000 ndani ya miaka miwili tu washafika huku wakati wenzao wanapunguza wao ni kupanda tu huku huduma zikiwa ni mbovu na wezi wa vifurushi!
Nimeboeka sana nalitupa kopo lenu huko ninunue azam au zuku nishachoka wizi....