Joeli
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 4,941
- 3,402
Kwa bahati bahati mbaya sana watu humu JF hamuaminiki, kila mtu anataka kuonekana mjanja kwa wengine..
Ndio maana ukiweka maujanja hapa wengine wanayachukua na kuenda kutundika FB..
Na wengine kupiga simu kwenye kampuni usika wakitaka kuelezwa namna ya kutumia huduma zao bure..
Watu kama hawa wamefanya baadhi yetu tuwe wachoyo wakushare maujanja hapa hivyo vitu vingi tuna faidi wenyewe kwa sababu kama hizo hapo juu. Tunahitaji kubadilika jamani.
na watu wenye viblogu njaa wanaanika maujanja ya jf, matokeo yake huduma zinasitishwa, hebu imagine siku zile net ya zero facebook ilipofungwa tukapata gap lingine hata miezi miwili haijapita jamaa wakafunga, yan nikimkamata mmoja nampa life ban