startimes hapo sawa

Usiwaamini saana hawa wachina ikifika tarehe 20/6 ukiwafuata watajifanya hawajui kiswahili, huduma zao niza ovyo mno
 
kwani satellite dish sio digital?

Ni digital kama unalo dish wewe nunua tu risiva ya mpeg4 mkuu na utaendelea kuenjoy chanel za bure za tz na za nje, achana na vingamuz uchwara. dish + risiva mpeg4 ndo kila kitu.
 
heshima zenu wana jf nilikua najiuliza hivi ni kwanini tanzania tusinge adopt system ya dvb s badala ya dvb t kama hizi za startimes, hii dvb t inayotumia minara inaonyesha ni slow kusambaa kwenye kila kona ya nchi. Ni zaidi ya miaka mitatu tangu s times waanze kurusha matangazo dar lakini mpaka leo ni miji michache inapata huduma zao!!!!!!KWA MAONI YANGU Tz INGE ADOPT DVB S INAYOTUMIA DISH LEO HII NCHI NZIMA PAMOIA NA VIJIJINI INGEKUWA NA HUDUMA HII YA DIGITAL TV
 
heshima zenu wana jf nilikua najiuliza hivi ni kwanini tanzania tusinge adopt system ya dvb s badala ya dvb t kama hizi za startimes, hii dvb t inayotumia minara inaonyesha ni slow kusambaa kwenye kila kona ya nchi. Ni zaidi ya miaka mitatu tangu s times waanze kurusha matangazo dar lakini mpaka leo ni miji michache inapata huduma zao!!!!!!KWA MAONI YANGU Tz INGE ADOPT DVB S INAYOTUMIA DISH LEO HII NCHI NZIMA PAMOIA NA VIJIJINI INGEKUWA NA HUDUMA HII YA DIGITAL TV

Kweli Wewe ni Great Thinker Hili ni wazo zuri sana na ndicho watu wengi tunaishauri serikali ifanye hivyo lakini kutonkana na Kutokua na usikivu katika selikali yetu Hatuto fanikiwa
 
Wazee mimi nimenunua kingamuzi,antenna ya ndani haikufaa nikachukua ya nje bila ya waya wao.antenna nimetumia waya mweusi kata antenna nyingine na sioni kitu chochote!
Je kuna tatizo kuchanganya hizo nyaya?
 
Ifikapo 31 December saa sita Ucku TV zote hapa Africa Mashariki zitazimwa na kuhamishiwa kwenye Vingamuzi kama vile TIG agape ,Startime TBC etc.Hivyo ni sawa kuwa hiyo Tarehe 20 june kuwa hivyo kwani awana jinsi lazima waingie tu kwenye mfumo wa Digital
Tulikuambia hao jamaa sio wa kuwaamini ona leo tarehe 20 hebu jaribu nenda kawaulize tena wakupe ahadi nyingine.
 
Ni digital kama unalo dish wewe
nunua tu risiva ya mpeg4 mkuu na utaendelea kuenjoy chanel za bure za
tz na za nje, achana na vingamuz uchwara. dish + risiva mpeg4 ndo kila
kitu.

hizo receiver zinapatikana wapi mkuu na ni model gani nikajinunulie mie mabo ya Star times sitayaweza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom