Mchaka Mchaka
JF-Expert Member
- Jul 20, 2010
- 4,516
- 1,404
Kwenye vita kama hivi, siku zote tunaoumia ni walaji, watu tulinunua kisimbuzi kwa makubaliano kuwa channel tano muhimu za tanzania zitakuwepo. sasa TV moja baada ya nyingine zinaanza kujitoa. Haki yangu kama mtazamaji inalindwa vp?