Kigger
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 805
- 710
Kwa pitapita zangu nimeona tv za bongo zimechoka, zimekosa ubunifu ikilinganisha na miaka iliyopita.
Nimejaribu kupitia tv za Kenya hata zile tv kaunti zina matangazo lukuki kila kipindi kikiwa na mdhamini zaidi ya mmoja, ambapo hapa kwetu kuna baadhi ya tv kubwa unaweza kutizama zaidi ya saa 3 ukokasa tangazo lolote mfano EATV NA STAR TV.
Inakuaje tv kongwe kama hizi zikose wadhamini wa vipindi? Nawaza jinsi watajiendesha vipi bila matangazo na hali hii sio kwa tv hadi radio.
Nimejaribu kupitia tv za Kenya hata zile tv kaunti zina matangazo lukuki kila kipindi kikiwa na mdhamini zaidi ya mmoja, ambapo hapa kwetu kuna baadhi ya tv kubwa unaweza kutizama zaidi ya saa 3 ukokasa tangazo lolote mfano EATV NA STAR TV.
Inakuaje tv kongwe kama hizi zikose wadhamini wa vipindi? Nawaza jinsi watajiendesha vipi bila matangazo na hali hii sio kwa tv hadi radio.