UKAWA na tabia ya kususa inawasumbua. Mkikabidhiw nchi matatizo yakizidi si mtasusa na kuikimbia serikali yenu.
Hayo ndo matatizo ya kugawana vyeo,unapogawana vyeo sawa na kugawana maslahi lazima tu muafaka uwe mgumu ikiwa kama mna mchango tofauti katika kifuta jasho hicho ,ingekua kama utaifa umewekwa mbele katika kulikomboa kutoka kwa mkoloni mweusi bila kujali hayo maslahi ingekua rahisi .Na ndo maana ZZK haachi kupiga dongo kuwa ni umoja wa vyeo
Na Magufuli hamumuwezi!
Mlitegemea awekwe Lowasa mpate pa kusemea, sasa imekula kwenu!
Ila nilikuwa naongea na Mbunge mmoja wa CDM anamlaumu wazi wazi Lipumba eti kwann amejitokeza kugombea Uraisi!
CDM wanasema wamewaachia CUF Uraisi Zanzibar nao waachiwe Uraisi wa JMT! Hapo hapo CUF wanaogopa wasiposimamisha mgombea Uraisi JMT watapotea huku bara!
Kazi mnayo
Ukawa n nn??unaposema umoja ni muunganiko wa vyama kuwa chamakimoja..sijaelewa mnakaaje mkutano huyu chadema huyu tlp..nccr nakujiita muungano
Dr. Magufuli mwepesi sana. Si ndiye aliyeshiriki kuiba nyumba .za serikali?