Star TV, UKAWA wapo Millenium Tower Live

Msulibasi

JF-Expert Member
Dec 2, 2014
5,839
7,502
Wamehojiwa Prof Lipumba na Huyu mbunge wa Mhambwe ambaye amemwakilisha mwenyekiti wake ambaye inasemekana ni mgonjwa.

Kafulila amehojiwa na mtangazaji wa Star kwamba hamuoni kuna chama kinaweza kuwazidi wenzake akajibu kwenye umoja wowote lazima kuna kutoa na kupokea na sio lazima mulingane kama ilivyo kwenye UN, Tanzania na Marekani. Akaulizwa kuhusu Mbatia kutokufika je ni kususa ama kujitoa akasema ni udhuru.

Lipumba amesema kila kitu kitakuwa wazi si leo bali baada ya mambo madogo madogo kufanyiwa rejea yaani consultation, akasema umoja bado upo na maelewano ni makubwa wanamalizia issue za ubunge na udiwani.

Nadhani wametaimu CCM wako busy huko Dom na wao wanajinafasi Dar.
 
Si tuliambiwa asubuhi kua wamegombana na kikao kimevunjika au ndio ulikua utabiri wa waganga wale wa kienyeji?
 
DSM, PWANI jiandikisheni, siyo ooh nimebanwa na kazi za ofisi ooh eeehhhh... chukua hata rikizo fupi ili uhakikishe unajiandikisha.... zaidi ya hapo utakuja kuona tena daftari 2020!
 
Hizi mbwembwe za ccm zinaisha kesho..tunarud kwenye uhalisia jumatatu...Magufuli aandae nondo za kutosha..ili kupunguza ushindi za dr.slaa..
 
Ukawa tuleteeni the weapon of mass destruction, I.e Dr. Slaa
image.jpg
 
jamani tuungane ktk hili ukawa kesho mtangazeni mgombea wetu maana ccm wanapata air time ya bure mtaani tumechoka na ccm empire we don't want a golden chains Mr magufuli we want freedom Dr slaa or chief of DSM
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom