jerrytz
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 5,980
- 4,284
added advantage ya lipumba ni kwamba kura zote za zanzibar zitaenda ukwawa kwasababu zanzibar wana udhaifu wa uislam hivyo wanampenda lipumba. pia kuna kundi kubwa la wabara ambalo hawapigii mtu kwasababu ni mzuri bali wanampigia mtu kwasababu ni muislam hasa profesa lipumba, udhaifu huo upo vichwani mwao na hawawezi kubaldilika kumpigia padre. wakristo ni waelewa wanaweza kuwa flexible wakampigia lipumba lakini ni tofauti kwa upande huo mwingine. hakika yake mkimuweka lipumba urais utaenda ukawa.
so unamaanisha Waislam ni wadhaifu?
na Wakristo ni waelewa? faizafoxy njoo uone huku........