Zambotti
JF-Expert Member
- Jul 2, 2016
- 1,962
- 3,600
Leo kipindi cha star tv tuongee asubuhi, amealikwa mwandishi Odelo charles Odelo kuzungumzia habari ya sensa. Dooh jamaa ameipinga sensa vibaya. Hoja zake ni hizi..
1. Kama tuna taasisi ya nbs kazi yake ni ipi kiasi mpaka ifanyike sensa baada ya miaka kumi.
2. Maafisa takwimu wilaya wanaolipwa na serikali kazi yao nini??
Sijui kama star tv wamepanga mjadala uwe hivi maana swali mezani ni upi mchango wa vyombo vya habari katika kuhamasisha sensa lakini jamaa anavyochana chana hili jambo ni hatari.
1. Kama tuna taasisi ya nbs kazi yake ni ipi kiasi mpaka ifanyike sensa baada ya miaka kumi.
2. Maafisa takwimu wilaya wanaolipwa na serikali kazi yao nini??
Sijui kama star tv wamepanga mjadala uwe hivi maana swali mezani ni upi mchango wa vyombo vya habari katika kuhamasisha sensa lakini jamaa anavyochana chana hili jambo ni hatari.