Star TV should declare their interest

Star TV should declare their interest

Tutakifunga baada ya uchaguzi. Lowasa akuapishwa.
 
Kituo hiki cha luninga cha Star TV kimejianika kama sehemu ya kampeni na propaganda za chama kimoja ambacho ni CCM. Habari zake,mijadala yake,matangazo yake na hata watangazaji wake wote wapo kiCCM.

Kimsingi,hilo si jambo jema kwa kipindi kama hiki cha uchaguzi. Wananchi tuna haki ya kujua mambo ya vyama tofauti ili tuamue. Kuzungumzia na kupigia debe chama kimoja si sawa.

Binafsi,nimeamua kutotazama tena Star TV na kuwaachia wafuasi wa CCM. Star TV waendelee na kampeni na propaganda zao kadiri watakavyo. Kwaheri Star TV,kwaheri TV ya CCM.

kasome tanzania Daima la mbowe.
 
Kituo hiki cha luninga cha Star TV kimejianika kama sehemu ya kampeni na propaganda za chama kimoja ambacho ni CCM. Habari zake,mijadala yake,matangazo yake na hata watangazaji wake wote wapo kiCCM.

Kimsingi,hilo si jambo jema kwa kipindi kama hiki cha uchaguzi. Wananchi tuna haki ya kujua mambo ya vyama tofauti ili tuamue. Kuzungumzia na kupigia debe chama kimoja si sawa.

Binafsi,nimeamua kutotazama tena Star TV na kuwaachia wafuasi wa CCM. Star TV waendelee na kampeni na propaganda zao kadiri watakavyo. Kwaheri Star TV,kwaheri TV ya CCM.
Wewe ulilipia matangazo ya hicho chama chako wakakataa kurusha? wale ni wafanyabiashara na mitambo yake kainunua kwa garama, ina garama z uendeshaji pamoja na kuwalipa wafanyakazi. Kama wenzenu wananunua muda wa hewani ninyi mnataka mrushwe bure? mbona jana walikuwa kidongochekundu hukulalamika?
 
Kwani yule gwajima hajui kuwa kuna maisha baada ya uchaguzi,hajui kuwa kabisa Lina waumini wa itikadi ya vyama mbalimbali,mbona kajiingza kichwakichwa kumkampenia fisadi na sisi tunafanya hivyohivyo,sasa kelele za nini?
 
Kituo hiki cha luninga cha Star TV kimejianika kama sehemu ya kampeni na propaganda za chama kimoja ambacho ni CCM. Habari zake,mijadala yake,matangazo yake na hata watangazaji wake wote wapo kiCCM.

Kimsingi,hilo si jambo jema kwa kipindi kama hiki cha uchaguzi. Wananchi tuna haki ya kujua mambo ya vyama tofauti ili tuamue. Kuzungumzia na kupigia debe chama kimoja si sawa.

Binafsi,nimeamua kutotazama tena Star TV na kuwaachia wafuasi wa CCM. Star TV waendelee na kampeni na propaganda zao kadiri watakavyo. Kwaheri Star TV,kwaheri TV ya CCM.
Tanzania njaa sana,wafanyakazi wenyewe wanalazimishwa kuwa wana CCM maana Tv gani wanawaza CCM tuu na TCRA kimya kama hawaoni mkuu
Sisi ni mabadiliko tu hata media zote wachukue tumeamua
 
Kwani yule gwajima hajui kuwa kuna maisha baada ya uchaguzi,hajui kuwa kabisa Lina waumini wa itikadi ya vyama mbalimbali,mbona kajiingza kichwakichwa kumkampwnia fisadi na sisi tunafanya hivyohivyo,sasa kelele za nini?

Gwajima kaja kumhjibu mliyemununua,sasa shida iko wapi?kwani aliongelea suala la Richmond?Yule ndiyo mshenga bana wanunueni wapiga kura wote na hela za ESCROW,EPPA,KIWIRA,MEREMETA,CHENCHI YA RADA
 
Kumhoji Mwigulu si kosa, kosa ni kumuacha atambe bila kubalance mahojiano
 
Wenzetu huko walipoondelea wakati wa kampeni baadhi ya TV huwa zinachagua upande kabisa, hii inasaidia mwananchi kujua kuwa akitaka habari zenye balance na ambazo haziko biased aangalie TV station ipi,
Rejea uchaguzi mkuu wa USA ,zipo TV zilikuwa zinasupport Democrat na nyingine Republican
 
Nishaacha mdaaa kuangalia tbc na star tv. Wote vibaraka wa ccm
 
Tanzania njaa sana,wafanyakazi wenyewe wanalazimishwa kuwa wana CCM maana Tv gani wanawaza CCM tuu na TCRA kimya kama hawaoni mkuu
Sisi ni mabadiliko tu hata media zote wachukue tumeamua

Mkuu Excellent.
 
Wapuuz tu
Hata hawajishtukiii c tunaakl tutachangua tunapopenda hta wafanyaje wao wafanye haki c tunaona....wakiendelea kutokutenda haki watasababsha tupigie ukawa
 
Ye ajiandae tu kutulipia kodi zetu
Mzee dihalo andaa karatasi zako vzur za TRA maana hakuna Mchezo hapa
 
Nimekuwa nikiifuatilia Star TV kwa muda mrefu hata kabla mchakato wa uchaguzi haujaanza. Niliifurahia kwa sababu walikuwa wakiita wachambuzi ambao wanachambua kwa kutumia independent mind.

Toka mchakato wa uchaguzi uanze hii TV imeanza kupoteza credibility, wanaita wachambuzi huku wanawapangia nini cha kuongea, unawaona watu wazima wanaongea mambo ambayo hayapo kwenye nafsi zao. Nimejaribu kufanya utafiti kupata habari za ndani kulikoni, mtu mmoja aliyepata za ndani ni kwamba Star TV imelipwa na CCM kufanya upendeleo wa makusudi katika habari na uchambuzi wake. Mtu huyu ameenda mbali zaidi akasema wamehakikishiwa na CCM kwamba hata wakipigwa faini na TCRA kama walivyofanyiwa Magic FM na TBC CCM wako tayari kulipa faini!

Ni jambo lililo wazi kwamba Star TV inamilikiwa na kada wa CCM Diallo, hilo halina ubaya na ana uhuru wa kikatiba kufanya hivyo. Kinachosikitisha ni kujifanya wako balanced wakati sisi watazamaji tunag'amua. Katika nchi zilizoendelea baadhi ya vyombo vya habari huwa vina declare interest katika uchaguzi kwamba wanaunga mkono chama au mgombea fulani. Kwa hiyo nawashauri star TV watutangazie wazi kwamba katika mchakato huu wa uchaguzi wanaunga mkono CCM bila kificho, tutawaheshimu kwa hilo na hiyo ni sehemu ya demokrasia ya kweli.

Nawasilisha

Hili swala linaniudhi mno nashindwa kutambua sheria zinasemaje. Tumezoea nchi kama U S A vyombo vinatangaza tangia mwanzoni wanamuunga mkono nani kitu ambacho hapa kwetu hatujaona. Binafsi nashangaa hii ya Star tv na R F A jukumu la kampeni za ccm wamepewa na nani? Hata kama kunavyombo vingine vya habari vinafanya hayo virudi nyuma vijilekebishe. Mambo kama hayo yakifanywa na watu wengine tungesikia maonyo na adhabu. Hii ikemewe.
 
Fungueni nanyi vyombo vyenu vya habari....mbona magazeti mmeyanunua hatusemi?
 
Back
Top Bottom