Hao madaktari wote wakristo eeeh?
Halafu nyerere aliwakataza kwenda shule?
Juzi kwenye biashara zangu nimekutana na mkaka very smart, muislamu hajui kusoma wala kuandika, hata mkataba ikabidi amuombe kaka yake amsomee na kutafria.....(sasa huyu kaka sijui ni mwanasheria????!!!!!) ila kaka mtu ni msomi mzuri tu, hilo nalo utasema ni nyerere? Dada zake ni wasomi wazuri tu hilo nalo utasema nyerere kawabagua?
Mnapoleta thread tumieni akili badala ya upofu wa kidini.....
Tunao waisalu kibao tumesoma nao toka sekondari hadi vyuo, tena na degree mbili mbili.... Msimsingizie nyerere, kusoma ni juhudi
za mtu.....
mzee hata ubaguzi uanfanyika tanganyijka. nyerere kasomesha wakiristo sasa hivi ndugu zetu wanakufa kwa mgomo wa madaktari waisllam wangaliwezeshwa haya yasingetokea maana wanauchunghu na nchi yao
mkishadanganywa na mashekhe ubwabwa bin wachu,ia tumbo mnayabeba bila kutumia akili, ukimchunguza shekhe husika wanapeleka watoto wao shule nzuri na wanawasisitiza elimu, nyie wanakuja kuwadanganya kwa kutumia chuki zenu za kipuuzi.....
Anyway huu muungano hauvunjikitu? Tumewachoka wapemba na waunguja, hawana walijualo zaidi ya kulalamika....... Kwanza mna asili ya uchoyo... Hata chuo kuna room mate mpemba alikuwa mchoyo wa material balaa, anakamua mpaka alfajiri akiingia kwenye mtihani yeye anayekesha, na sie tunaolala saa nne, maksi tunamzidi....