Unaona sasa, mada inasema mjadala wa bajeti lakini base kubwa ya nukuu hii ina-base kwa Mnyika kutuonyesha kwa jinsi alivyotolewa bungeni, si vibaya lakini Yahaya kwanini agenda ya Mnyika inakula muda mwingi kuliko kusikiliza hoja zingine?
Infact alichokisema Mnyika si kauli yake bali ni kauli ya waTZ walio wengi, yako wapi maisha bora kwa kila MTZ? WaTZ wamechoshwa na ugumu wa maisha unaosababishwa na CCM kwani ni mara ngapi watu wanaongea mitaaani vijiweni na hata majumbani kuwa JK ni dhaifu...? CCM ni hovyo na Bunge limekuwa ni kama Kariakoo, NAungana na Mnyika kuwa JK ni dhaifu na CCM ni UPUUZI kwani ni kweli hayo na hata mengi matusi ndio lugha ya walala hoi siku hizi hivyo mnyika amewakilisha kundi kubwa sana la wakesha njaa.
NA huyo willy ni Hovyo kwanza namuona kama hana hoja badala ya kunyoosha hoja anatumbukiza mno kujiremba kwa kuchanganya maneno. Nasikitika kusema siasa si fani yake.