trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 736
- Thread starter
- #61
So way forward?
Mwalimu aliwai kusema kwenye hotuba yake moja...development should be people centered...hata uwe na barabara za juu(fly-over) lakini kama watu wako wanashinda njaa huo ni ujinga....
Mkuu ni kweli lakini nadhani unaona kuwa hayo mawili ya Elimu na Viwanda hajaenda vizuri kutokana na kukosekana mtu wa kuyafikisha mahali pazuri, bado linajirudia la uongozi bora.
Cha General Tyre East Africa je!!
Nakumbuka kuna wakati kutokana na ubora wake matairi ya General mtu ukifunga kwenye gari kila mtu anakuheshimu.... Hawa jamaa mabazaz kabisa!!!!!
Watu walikuwa wanaendesha kutoka Kenya kwenda Arusha kununua matairi hayo.Nakumbuka kuna wakati kutokana na ubora wake matairi ya General mtu ukifunga kwenye gari kila mtu anakuheshimu.... Hawa jamaa mabazaz kabisa!!!!!
Watu walikuwa wanaendesha kutoka Kenya kwenda Arusha kununua matairi hayo.
wahuni hao na kauli zao
Tumeweza kusaidia ukombozi kusini mwa afrika+uganda kwa kuchangishana hata kuku....Leo hawana hata kumbu2!
maendeleo ni kipimo cha jinsi binadamu alivyoweza kutambua na kuongeza thamani katika rasilimali zinazomzunguka ili kupata mahitaji yake ya kila siku. tusichanganye maendeleo (develpment) na ukisasa au usasa (modernisation). kama tumeweza kufika hapa leo ni dhahiri tumeendelea
...Mbona umeshatoa jibu! Tunahitaji kuwa focused. Lakini hii inahitaji real leadership.Hivi twaweza kurudisha ama kuanzisha mapinduzi ya viwanda? Maana shida ni kuwa hatuko focussed.. Ama tuna vipaumbele vingi...hatujui tushike lipi tuache lipi!
...Kwenye suala la uongozi bora, hebu tuingize mjadala wa kifilosofia kidogo. Kuna post moja humu ndani nilimwelezea Suharto -mla rushwa- na Nyerere -mchukia rushwa- na kumnukuu mtu mmoja akijadili jinsi Indonesia ilivyoendelea kwa kipindi hicho ukilinganisha na Tanzania. Sasa, tunaweza kujadili kuwa Nyerere alikuwa kiongozi bora, ingawa kuna watakaopinga, inategemea matendo yapi ni bora kwa mtu, jamii, taifa na mataifa.Mkuu ni kweli lakini nadhani unaona kuwa hayo mawili ya Elimu na Viwanda hajaenda vizuri kutokana na kukosekana mtu wa kuyafikisha mahali pazuri, bado linajirudia la uongozi bora.
...Maendeleo ndio huleta uki[sasa] unaousema. Utakuwaje wa kisasa, kwa mfano, bila kuwa na maendeleo ya elimu, uchumi, jamii, n.k?maendeleo ni kipimo cha jinsi binadamu alivyoweza kutambua na kuongeza thamani katika rasilimali zinazomzunguka ili kupata mahitaji yake ya kila siku. tusichanganye maendeleo (develpment) na ukisasa au usasa (modernisation). kama tumeweza kufika hapa leo ni dhahiri tumeendelea
...Maendeleo ndio huleta uki[sasa] unaousema. Utakuwaje wa kisasa, kwa mfano, bila kuwa na maendeleo ya elimu, uchumi, jamii, n.k?
...Tufahamu pia kuwa, maendeleo hupimwa kwa vigezo kadhaa. Maana yake, ili uambiwe umeendelea lazima ulinganishwe na wenzako au na wengine kwa kuangalia mmetokea wapi kimaendeleo. Nadhani kila mmoja wetu anafahamu tumeshika nafasi zipi katika vigezo mbalimbali duniani. Kudokeza kidogo tu. Hivi majuzi watoto wa shule katika afrika mashariki walipimwa uelewa wao wa kiswahili, nadhani tunafahamu Tanzania ilishika nafasi ya ngapi.