Hivi mnajiona sawa.Mpaka tv inayoendeshwa kwa kodi zetu tuilipie? Eti airtime ikiisha wanakata mpaka TBC1.Kwahiyo nayenyewe tuite chanel ya kulipia.Kweli hii ni TEKNOBANIA
cha ajabu ni kwamba, pale kwangu kimara mwisho haikamati, nimejaribu kuelekeza kiantena kisarawe weee haikamati, nikakirusha kabatini nikanunua kingámuzi kingine....kwasababu nilishakinunua, naomba waweke mitambo ya kusambaza network yao dsm nzima...kuna maeneo mengi tu dsm hayakamati..hasa kimara huku.
Umenunua decoder gani inayokamata vizuri zaidi?
mkuu nakushauri ununue dikoda ya ting'i
Inakera zaidi pale unapangalia kitu / habari nzuri mara ina stuck.......utasubiri hapo na ikirudi ule uhondo umeshapita. Yaani ni balaa. Nimemulizia mtu wa hapo kwao anadai ninunue antenna ya nje coz mm natumia antenna ndogo ya ndani.
Bw.Hute suala la kukamata au kutokamata signal linatokana na eneo ulipo mfano Kimara kuna mabonde na milima yakutosha inategemea wapi ulipo. ama sio?