Stanslaus Mabula: Nyamagana msirudie kuchagua wakimbizi

Stanslaus Mabula: Nyamagana msirudie kuchagua wakimbizi

Wasukuma ulizeniiii....naomba picha yao moja tafadhali me nawaogopa tcra na mikwala yaooo
.
 
View attachment 320192

Akichangia hotuba ya Rais,Mbunge wa Jimbo la Nyamagana Mh.Stanslaus Mabula amesema kosa walilolifanya watu wa Nyamagana kwa miaka mitano ni kuchagua Mbunge mkimbizi ambaye hajui matatizo ya Jimbo lake kwa ugeni wake na ukaazi wake wa Kenya na Rorya

Hapo Mbunge mkimbizi aliyekuwa nalengwa ni Mh.Ezekia Wenje ambaye toka mwanzo wa uchaguzi wa 2010 na hizi za 2015 zilijawa na Ukabila na lugha za kibaguzi kuwa ni mtu wa Kenya na mjaruo wa Rorya hawezi kuja kuwaongoza wasukuma.

Hali hii imedhihirishwa na Mbunge wa sasa wa Nyamagana ambaye aliamua kutoa kauli hiyo ya kibaguzi ndani ya bunge.Tabia hii ya siasa za kibaguzi zilitawala sana ktk uchaguzi wa wabunge ktk Mkoa wa Mwanza,ambapo hata baada ya uchaguzi huo kuisha bado zinaendelezwa.

Tukemee mbegu hizi za ubaguzi wa kikabila ktk siasa za bunge na nje ya bunge.

CCM ni tambazi kubwa
 
CCM Zanzibar wanaita wenzao Waarabu, CCM mwanza wanaitwa wenzao Wakimbizi wa Kenya, CCM pwani wanaita wapinzani wa kanda ya kaskazini!! Huhitaji vidato kujua CCM wameishiwa na kufilisika.
 
Tundu Lisu tufungie kazi huyu boya kwenye kesi yake
ondoa shaka , huyu hana maisha bungeni , nimeona kesi yake kuna vipengere vinne tu vitakavyomvua ubunge ( yaliyo mahakamani hayaruhusiwi kujadiliwa ) , hata ccm wenzie hawamtaki kabisa . ana dharau za kishamba sana
 
Ana laana ya kudhulumu wafanya kazi wa kampuni yake ya ulinzi pale nera.Na wizi wake ws kura .Na watu wa mwanza nyamagana tuna msubili kwa hamu sana.Na hivi wabonge tuisha someshwa namba atajuta.
 
View attachment 320192

Akichangia hotuba ya Rais,Mbunge wa Jimbo la Nyamagana Mh.Stanslaus Mabula amesema kosa walilolifanya watu wa Nyamagana kwa miaka mitano ni kuchagua Mbunge mkimbizi ambaye hajui matatizo ya Jimbo lake kwa ugeni wake na ukaazi wake wa Kenya na Rorya

Hapo Mbunge mkimbizi aliyekuwa nalengwa ni Mh.Ezekia Wenje ambaye toka mwanzo wa uchaguzi wa 2010 na hizi za 2015 zilijawa na Ukabila na lugha za kibaguzi kuwa ni mtu wa Kenya na mjaruo wa Rorya hawezi kuja kuwaongoza wasukuma.

Hali hii imedhihirishwa na Mbunge wa sasa wa Nyamagana ambaye aliamua kutoa kauli hiyo ya kibaguzi ndani ya bunge.Tabia hii ya siasa za kibaguzi zilitawala sana ktk uchaguzi wa wabunge ktk Mkoa wa Mwanza,ambapo hata baada ya uchaguzi huo kuisha bado zinaendelezwa.

Tukemee mbegu hizi za ubaguzi wa kikabila ktk siasa za bunge na nje ya bunge.
Mkiacha kuwaita akina Kinana, Bashe nk wasomali basi utakuwa na haki ya kulalama hivi
 
sasa bila aibu wala nini ccm imeishiwa maana imeanza kutangaza ukabila zenj na sasa bara
 
Hizo ndo sisasa za ccm walizo zoea jaman...bila ubaguzi interahamwe hawawezshinda uchaguzi
 
Ngoja tu aendelee paka poda atashangaa sana 2020
 
Yan badala ya kuongea kitu cha maana anaongelea mambo ya ubaguz Kwan mwanza kuna wasukuma tu jaman .yan mbunge cku ya kwanza bungeni anaongea pumba hivyo naanza kutambua kwa nn hawataki bunge lirushwe live .
 
Soma historia mh.Mabula husiropoke.hawa ni watu wa mpakani ambao mpaka uliwaingiza upande wa Tanzani wakati wa mchoro wa wazungu wakati wanajimegea ardhi ya kutawala.
 
Mimi nilimuona ndugu yetu kama ni msomi sana haya maneno ya kikabila ni hatari kwa nchi yetu.
 
kuna jingo inaplay sana kwenye redio moja hapa Mwanza (Metro) mbunge Stan Mabula akisema kuwa yeye ndiye aliyefanikisha mradi wa Rock City Mall
ha ha yaani huwa nacheeka nikiisikia
kweli watu wa Nyamagana tumeingia chaka huyu sio mbunge
 
Namkumbuka mheshimiwa Magufuli siku moja ktk kampeni zake pale moshi,alitamka karibia salamu za makabila yote Tanzania ikiwemo kijaluo mbona hakusema kwamba ni lugha ya wakimbizi?
 
Kwakweli ni kuiombea nchi yetu amani tusije tukabaguana kikabila wanasisa wengine wana matatizo.
 
Sasa mheshimiwa ninampa historia kidogo tu.Makabila yanayo patikana kenya na Tanzania ni haya:-

Wadigo
Wamasai
Wajaluo
Wakuria.Hawa wote walijikuta Tanzania wakati wazungu wana gawana ardhi yetu ki tawala na kuchora mipaka ya sasa.
 
Chochote anachoongea mbunge bungeni ana Kinga, huwezi kumfanya chochote kile
Kama hilo unalolisema la wabunge kuwa na kinga kwa yale wanayoyaongea, nijulishe ni kwa nini siku chache zilizopita, baada ya wabunge wa upinzani kuomba mwongozo na Mwenyekiti wa Bunge, Andrew Chenge kuwachunia, badala yake siyo tu waliingizwa FFU mle mjengoni bali pia waliingizwa mbwa wa Polisi mle bungeni, utadhani hao Polisi walikuwa wakipambana na majambazi!

Unless usahihishe kauli yako kwa kuitolea ufafanuzi kuwa kinga hiyo ya wabunge inawahusu wabunge wa CCM pekee na kinga hiyo haiwahusu wabunge wa upinzani.
 
ukabila upo jamani mabula unamuonea, yaani mzaramo anaweza kuwa mbunge Rorya? haiwezekani, msukuma hawezi kuwa mbunge tarime, achilia mbali mnyamwezi kushinda ubunge pemba. Mkwere kuwa diwani vunjo haiwezekani ni watu wa pwani ndio hawana ukabila na fair play inapigwa. Mmasai kuwa mbunge ntwara, mnyamwezi kuwa diwani bukoba mjini au mchagga kushinda ubunge kyela.

Kama mabula kasema mpongezeni kwa kusema ukweli sio kumtusi, mjanga kuwa diwani Ngonga au Mrisha kuwa Mbunge Serengeti ni zaidi haiwezekani kwa wakati huu ila with time watabadilika.
 
Back
Top Bottom