Stanslaus Mabula: Nyamagana msirudie kuchagua wakimbizi

Ngaliba Dume

JF-Expert Member
Oct 6, 2010
1,710
3,677
image.jpeg


Akichangia hotuba ya Rais,Mbunge wa Jimbo la Nyamagana Mh.Stanslaus Mabula amesema kosa walilolifanya watu wa Nyamagana kwa miaka mitano ni kuchagua Mbunge mkimbizi ambaye hajui matatizo ya Jimbo lake kwa ugeni wake na ukaazi wake wa Kenya na Rorya

Hapo Mbunge mkimbizi aliyekuwa nalengwa ni Mh.Ezekia Wenje ambaye toka mwanzo wa uchaguzi wa 2010 na hizi za 2015 zilijawa na Ukabila na lugha za kibaguzi kuwa ni mtu wa Kenya na mjaruo wa Rorya hawezi kuja kuwaongoza wasukuma.

Hali hii imedhihirishwa na Mbunge wa sasa wa Nyamagana ambaye aliamua kutoa kauli hiyo ya kibaguzi ndani ya bunge.Tabia hii ya siasa za kibaguzi zilitawala sana ktk uchaguzi wa wabunge ktk Mkoa wa Mwanza,ambapo hata baada ya uchaguzi huo kuisha bado zinaendelezwa.

Tukemee mbegu hizi za ubaguzi wa kikabila ktk siasa za bunge na nje ya bunge.
 
View attachment 320192

Akichangia hotuba ya Rais,Mbunge wa Jimbo la Nyamagana Mh.Stanslaus Mabula amesema kosa walilolifanya watu wa Nyamagana kwa miaka mitano ni kuchagua Mbunge mkimbizi ambaye hajui matatizo ya Jimbo lake kwa ugeni wake na ukaazi wake wa Kenya na Rolya(?)
Hapo Mbunge mkimbizi aliyekuwa nalengwa ni Mh.Ezekia Wenje ambaye toka mwanzo wa uchaguzi wa 2010 na hizi za 2015 zilijawa na Ukabila na lugha za kibaguzi kuwa ni mtu wa Kenya na mjaruo wa Rorya hawezi kuja kuwaongoza wasukuma.Hali hii imedhihirishwa na Mbunge wa sasa wa Nyamagana ambaye aliamua kutoa kauli hiyo ya kibaguzi ndani ya bunge.Tabia hii ya siasa za kibaguzi zilitawala sana ktk uchaguzi wa wabunge ktk Mkoa wa Mwanza,ambapo hata baada ya uchaguzi huo kuisha bado zinaendelezwa.Tukemee mbegu hizi za ubaguzi wa kikabila ktk siasa za bunge na nje ya bunge.


Inajulikana kuwa CCM walitmia Sana ukabila kanda ya ziwa ....hadi kufikia wagombea wengine hadi wa urais kuongea kilugha jukwaani....kwa kuwa uchaguzi umepita Sio busara kuendeleza hizo sentiments za kibaguzi
 
Huyu jamaa naskia ni 4m 4 Failure!! Nadhani Ubongo wake una matatizo makubwa sana
 
Ata wewe Mabura unaongea hivyo tunakupa Miaka 5 na wewe tunapiga chini wewe mwenyewe wakuja hapa Mwanza.
 
Ata wewe Mabura unaongea hivyo tunakupa Miaka 5 na wewe tunapiga chini wewe mwenyewe wakuja hapa Mwanza.
Mkuu miaka Kitano itoke wapi na kesi ya Uchaguzi imemkalia vibaya? Akipigwa chini na Uchaguzi ukirudiwa anadhani mzee LOFA atakanyaga tena Mwanza kuja kucheza rafu tena? Safari hii watamkamua lile tumbo, naye anajua hilo hawezi kuja tena
 
View attachment 320192

Akichangia hotuba ya Rais,Mbunge wa Jimbo la Nyamagana Mh.Stanslaus Mabula amesema kosa walilolifanya watu wa Nyamagana kwa miaka mitano ni kuchagua Mbunge mkimbizi ambaye hajui matatizo ya Jimbo lake kwa ugeni wake na ukaazi wake wa Kenya na Rorya

Hapo Mbunge mkimbizi aliyekuwa nalengwa ni Mh.Ezekia Wenje ambaye toka mwanzo wa uchaguzi wa 2010 na hizi za 2015 zilijawa na Ukabila na lugha za kibaguzi kuwa ni mtu wa Kenya na mjaruo wa Rorya hawezi kuja kuwaongoza wasukuma.

Hali hii imedhihirishwa na Mbunge wa sasa wa Nyamagana ambaye aliamua kutoa kauli hiyo ya kibaguzi ndani ya bunge.Tabia hii ya siasa za kibaguzi zilitawala sana ktk uchaguzi wa wabunge ktk Mkoa wa Mwanza,ambapo hata baada ya uchaguzi huo kuisha bado zinaendelezwa.

Tukemee mbegu hizi za ubaguzi wa kikabila ktk siasa za bunge na nje ya bunge.

Stan ni mwenyeji (asili yake) ni Nassa jimbo la Busega kumbe hata yeye ni mkimbizi . Lakini hii tabia iliyojengeka hapa Mwanza kupandikiza kasumba ya makabila itakuja toa matokeo ambayo CCM watayajutia daIMA.
 
Kama Bungeni hawakumuonya basi kama Taifa tumekwisha.Wenje kama ana ushahidi wa kiubaguzi sasa ndiyo wakati wake
 
Hii Sukumalization inayoendelea TZ ni hatari kwa umoja wa taifa letu. Itatufikisha pabaya ..
 
View attachment 320192

Akichangia hotuba ya Rais,Mbunge wa Jimbo la Nyamagana Mh.Stanslaus Mabula amesema kosa walilolifanya watu wa Nyamagana kwa miaka mitano ni kuchagua Mbunge mkimbizi ambaye hajui matatizo ya Jimbo lake kwa ugeni wake na ukaazi wake wa Kenya na Rorya

Hapo Mbunge mkimbizi aliyekuwa nalengwa ni Mh.Ezekia Wenje ambaye toka mwanzo wa uchaguzi wa 2010 na hizi za 2015 zilijawa na Ukabila na lugha za kibaguzi kuwa ni mtu wa Kenya na mjaruo wa Rorya hawezi kuja kuwaongoza wasukuma.

Hali hii imedhihirishwa na Mbunge wa sasa wa Nyamagana ambaye aliamua kutoa kauli hiyo ya kibaguzi ndani ya bunge.Tabia hii ya siasa za kibaguzi zilitawala sana ktk uchaguzi wa wabunge ktk Mkoa wa Mwanza,ambapo hata baada ya uchaguzi huo kuisha bado zinaendelezwa.

Tukemee mbegu hizi za ubaguzi wa kikabila ktk siasa za bunge na nje ya bunge.
Haingii akilini kumuita mwenzio mkimbizi ili hali anaishi akiwa ni raia na si kwa vibali maalum. Siasa km hizi zitaisha lini Tz?! Ndo maana Wazungu wanatumonitor kwa kila kitu kwa kutuona hatujitambui. Wao wakiisha maliza uchaguzi basi ni kujenga nchi. Sisi tunamaliza uchaguzi majungu ndo yanaanza.
 
Yaani hao CCM sera yao kuu waliyobaki nayo ni ubaguzi.

Tunakumbuka kule Zanzibar wakati wa sherehe za Mapindizi, vijana wa UCCM walipita jukwaa kuu na bango lao lililosomeka CHOTARA HIZBU ZANZIBAR NI YA WAAFRIKA.

Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa unapomuita mtu Kaburu, siyo lazima umaanishe wazungu wa Afrika Kusini, akaendelea kusema yeyote anayewabagua waafrika wenzake bila kujali hata kama mtu huyo ni mweusi atastahili kuitwa Kaburu.

Mwalimu Nyerere pia alikuw akisema ukiona mtu yeyote anahubiri ukabila, udini na kubagua mtu kutokana na rangi yake tambua kuwa mtu huyo amefilisika kisiasa.

Kwa hizo pumba zinazohubiriwa na wabunge wa CCM humo mjengoni sasa waTZ tutaanza kugundua kwa nini hao magamba wameamua TBC isirushe LIVE hilo bunge lao ili wasiadhirike.
 
Sijasikia hyo kaul ila kma n kwel ni jambo LA aibu na atakua amejishushia heshima sana. Mwanza Imejaa watu WA makabila meng sana na hao wasukuma weng wao wako pembezon mwa mji. So waliomchagua n watu WA makabila tofaut asisahau akadhan 5 yrs n Muda mrefu sana
 
Inajulikana kuwa CCM walitmia Sana ukabila kanda ya ziwa ....hadi kufikia wagombea wengine hadi wa urais kuongea kilugha jukwaani....kwa kuwa uchaguzi umepita Sio busara kuendeleza hizo sentiments za kibaguzi
Kama ni kweli Wenje inabidi aitoe mahakamani ni kosa kishelia.
 
View attachment 320192

Akichangia hotuba ya Rais,Mbunge wa Jimbo la Nyamagana Mh.Stanslaus Mabula amesema kosa walilolifanya watu wa Nyamagana kwa miaka mitano ni kuchagua Mbunge mkimbizi ambaye hajui matatizo ya Jimbo lake kwa ugeni wake na ukaazi wake wa Kenya na Rorya

Hapo Mbunge mkimbizi aliyekuwa nalengwa ni Mh.Ezekia Wenje ambaye toka mwanzo wa uchaguzi wa 2010 na hizi za 2015 zilijawa na Ukabila na lugha za kibaguzi kuwa ni mtu wa Kenya na mjaruo wa Rorya hawezi kuja kuwaongoza wasukuma.

Hali hii imedhihirishwa na Mbunge wa sasa wa Nyamagana ambaye aliamua kutoa kauli hiyo ya kibaguzi ndani ya bunge.Tabia hii ya siasa za kibaguzi zilitawala sana ktk uchaguzi wa wabunge ktk Mkoa wa Mwanza,ambapo hata baada ya uchaguzi huo kuisha bado zinaendelezwa.

Tukemee mbegu hizi za ubaguzi wa kikabila ktk siasa za bunge na nje ya bunge.
kete ya ukabila ilisaidia sana kupunguza kura wenje na kiwia japo bado walishinda na wakaibiwa kura
 
Mbona kama anasura kama ya wanyarwanda huyo anayejiita mabula isije ikawa yeye ndo mkimbizi alinunua jina
 
Kama Bungeni hawakumuonya basi kama Taifa tumekwisha.Wenje kama ana ushahidi wa kiubaguzi sasa ndiyo wakati wake
Chochote anachoongea mbunge bungeni ana Kinga, huwezi kumfanya chochote kile
 
huyu ni kati ya wabunge washamba kabisa na limbukeni wa kutupwa wa kanda ya ziwa , kuingia kwa magufuli ikulu kumemfanya ajione kama Mungu ameibuka kanda ya ziwa , hakuna asiyejua kwamba hakushinda uchaguzi , natabiri huyu kuwa mbunge wa kwanza kabisa kuliaga bunge mwaka huu , ubaguzi ni laana mbaya sana .
 
Back
Top Bottom