DZUDZUKU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2012
- 3,931
- 2,141
- Thread starter
- #21
Duh Mwalimu mbona unachemka hivyo? Standing order haihusu school issues hata siku moja na hakuna hata neno moja acha sentensi inayozumgumzia school issues. Ndio maana Mkuu wako anakunyanyasa....N PM email yako nikutumie bwana
Nashukuru aisee, maana huku nikigusa tu kitu, utasikia sauti ya mkuu, "mwalimu standing order inasema..........."