Standing order kitu adimu na muhimu.

Standing order kitu adimu na muhimu.

DZUDZUKU

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2012
Posts
3,931
Reaction score
2,141
Habari wana jukwaa la Elimu.

Hii document inayoitwa standing order, kama kuna mtu anayo naomba a upload hapa maana mkuu wa shule anasumbua kweli kweli.

Pliz msaada.
 
Wewe ni mwanafunzi wa sekondary?.kama wewe ni mwanafunzi wa sekondary fungua kitabu chako cha commerce kuna specimen ya kila document.au kitabu chochote library cha accounting(hasa vya majuu).
 
Habari wana jukwaa la elim.

Hii document inayoitwa standing order, kama kuna mtu anayo naomba a upload hapa maana mkuu wa shule anasumbua kweli kweli.

Pliz msaada.

Mkuu bahati mbaya ipo kwny ipad,ninayo to-date.sasa kama hutaipata tukumbusha nii-upload hapa
 
Wewe ni mwanafunzi wa sekondary?.kama wewe ni mwanafunzi wa sekondary fungua kitabu chako cha commerce kuna specimen ya kila document.au kitabu chochote library cha accounting(hasa vya majuu).

Haya dada ntajaribu kuangalia, ila umenchanganya kidogo, nmezoea specimen zinakuwepo maabara.
 
Thank you for your concern, but the information is irrelevant.

Kama aliyokutumia Danp36 ni irrelevant basi maelezo yako hayajajitosheleza kuhusu aina ya hiyo standing order yako unayoihitaji.

Kwa ufupi standing order kadri nnavyofahamu mimi na inavyotumika ki benki, ni maelekezo ya kuiruhusu benki kutoa pesa kutoka kwenye akaunti yako kwenda kwenye akaunti nyingine iwe ndani au benki nyingine. Na hii hufanyika kama hamisho hilo linafanyika mara kwa mara na kiwango cha pesa ni kilekile.

Huenda nimeelewa tofauti, jaribu kulezea hiyo document yako ya standing order inahusiana na nini?
 
Last edited by a moderator:
Kama aliyokutumia Danp36 ni irrelevant basi maelezo yako hayajajitosheleza kuhusu aina ya hiyo standing order yako unayoihitaji.

Kwa ufupi standing order kadri nnavyofahamu mimi na inavyotumika ki benki, ni maelekezo ya kuiruhusu benki kutoa pesa kutoka kwenye akaunti yako kwenda kwenye akaunti nyingine iwe ndani au benki nyingine. Na hii hufanyika kama hamisho hilo linafanyika mara kwa mara na kiwango cha pesa ni kilekile.

Huenda nimeelewa tofauti, jaribu kulezea hiyo document yako ya standing order inahusiana na nini?

School issues.
 
Last edited by a moderator:
Kama aliyokutumia Danp36 ni irrelevant basi maelezo yako hayajajitosheleza kuhusu aina ya hiyo standing order yako unayoihitaji.

Kwa ufupi standing order kadri nnavyofahamu mimi na inavyotumika ki benki, ni maelekezo ya kuiruhusu benki kutoa pesa kutoka kwenye akaunti yako kwenda kwenye akaunti nyingine iwe ndani au benki nyingine. Na hii hufanyika kama hamisho hilo linafanyika mara kwa mara na kiwango cha pesa ni kilekile.

Huenda nimeelewa tofauti, jaribu kulezea hiyo document yako ya standing order inahusiana na nini?

@DZUKUDZUKU amekosea katika kuchapisha. Kwa kuwa yeye ni mtumishi wa umma mtarajiwa, naamini alikuwa akiulizia PUBLIC SERVICE STANDING ORDERS, 2009. Ambayo imewekwa tayari. Tuwe makini katika kuandika!
 
Last edited by a moderator:
kama aliyokutumia danp36 ni irrelevant basi maelezo yako hayajajitosheleza kuhusu aina ya hiyo standing order yako unayoihitaji.

Kwa ufupi standing order kadri nnavyofahamu mimi na inavyotumika ki benki, ni maelekezo ya kuiruhusu benki kutoa pesa kutoka kwenye akaunti yako kwenda kwenye akaunti nyingine iwe ndani au benki nyingine. Na hii hufanyika kama hamisho hilo linafanyika mara kwa mara na kiwango cha pesa ni kilekile.

Huenda nimeelewa tofauti, jaribu kulezea hiyo document yako ya standing order inahusiana na nini?

mkuu samaritan huyu jamaa aliuliza swali akiamini sisi tunaelewa kama yeye anavyoijua.nadhani hiyo anayoiitaji ni kwaajili ya employees.zaidi aseme ya aina gani maana na nimeituma pdf juu hapo
 
Siku zote jaribu kuelewa kabla ya kutoa majibu! the "Standing order" or "Government Standing Order" ni kitabu kinachotoa miongozo mbalimbali kwa watumishi wa umma: haki za msingi na maslahi yao kwa ujumla; wakati gani mtumishi anastahili kufanya nini na kwa namna gani.

Mara nyingi kila institution inakuwa na kopi ambayo ukaa kwa bosi. Mabosi wengi wanaogopa kuiweka wazi kuogopa misukosuko toka kwa watumishi koz mambo mengi yanaminywa.

Kitabu hiki kinapatikana kwenye maduka ya Serikali-mfano maeneo ya Posta kwa walioko Dsm. kitafute kama wewe ni mtumishi hili upate kujua haki zako na makosa ambayo pengine umekuwa ukiyatenda ukidhani ni haki yako.

Kama aliyokutumia Danp36 ni irrelevant basi maelezo yako hayajajitosheleza kuhusu aina ya hiyo standing order yako unayoihitaji.

Kwa ufupi standing order kadri nnavyofahamu mimi na inavyotumika ki benki, ni maelekezo ya kuiruhusu benki kutoa pesa kutoka kwenye akaunti yako kwenda kwenye akaunti nyingine iwe ndani au benki nyingine. Na hii hufanyika kama hamisho hilo linafanyika mara kwa mara na kiwango cha pesa ni kilekile.

Huenda nimeelewa tofauti, jaribu kulezea hiyo document yako ya standing order inahusiana na nini?
 
Ikiwa kama hujapata, tafuta kwa Google. Andika PUBLIC SERVICE STANDING ORDERS, 2009.
Usipofanikiwa, ni PM barua pepe yako, nikiutmie. Natumia simu, siwezi kuipandisha.
Public Service Standing Orders ni muhimu kwa mtumishi, kama vilivyo vitabu vitakatifu vya dini. Pia usisahau Code of Ethics and Conduct, Employment and Labour Act.
 
Siku zote jaribu kuelewa kabla ya kutoa majibu! the "Standing order" or "Government Standing Order" ni kitabu kinachotoa miongozo mbalimbali kwa watumishi wa umma: haki za msingi na maslahi yao kwa ujumla; wakati gani mtumishi anastahili kufanya nini na kwa namna gani.

Mara nyingi kila institution inakuwa na kopi ambayo ukaa kwa bosi. Mabosi wengi wanaogopa kuiweka wazi kuogopa misukosuko toka kwa watumishi koz mambo mengi yanaminywa.

Kitabu hiki kinapatikana kwenye maduka ya Serikali-mfano maeneo ya Posta kwa walioko Dsm. kitafute kama wewe ni mtumishi hili upate kujua haki zako na makosa ambayo pengine umekuwa ukiyatenda ukidhani ni haki yako.

Tuko pamoja mkuu, asante kwa kuniongezea darasa. Lakini kuelewa vizuri kunachangiwa kwa kiasi kikubwa na mueleweshaji.
Kwa upande wa pili, sio kila mtu ni mtumishi wa umma, kwa hiyo standing order huenda ikamaanisha kitu tofauti kwa mtu mwingine.

Shukrani
 
Siku zote jaribu kuelewa kabla ya kutoa majibu! the "Standing order" or "Government Standing Order" ni kitabu kinachotoa miongozo mbalimbali kwa watumishi wa umma: haki za msingi na maslahi yao kwa ujumla; wakati gani mtumishi anastahili kufanya nini na kwa namna gani.

Mara nyingi kila institution inakuwa na kopi ambayo ukaa kwa bosi. Mabosi wengi wanaogopa kuiweka wazi kuogopa misukosuko toka kwa watumishi koz mambo mengi yanaminywa.

Kitabu hiki kinapatikana kwenye maduka ya Serikali-mfano maeneo ya Posta kwa walioko Dsm. kitafute kama wewe ni mtumishi hili upate kujua haki zako na makosa ambayo pengine umekuwa ukiyatenda ukidhani ni haki yako.

class...!imetulia hii
 
Ikiwa kama hujapata, tafuta kwa Google. Andika PUBLIC SERVICE STANDING ORDERS, 2009.
Usipofanikiwa, ni PM barua pepe yako, nikiutmie. Natumia simu, siwezi kuipandisha.
Public Service Standing Orders ni muhimu kwa mtumishi, kama vilivyo vitabu vitakatifu vya dini. Pia usisahau Code of Ethics and Conduct, Employment and Labour Act.

Kweli mkuu hayo mambo ni muhimu kuwa nayo
 
School issues.
Duh Mwalimu mbona unachemka hivyo? Standing order haihusu school issues hata siku moja na hakuna hata neno moja acha sentensi inayozumgumzia school issues. Ndio maana Mkuu wako anakunyanyasa....N PM email yako nikutumie bwana
 
Ikiwa kama hujapata, tafuta kwa Google. Andika PUBLIC SERVICE STANDING ORDERS, 2009.
Usipofanikiwa, ni PM barua pepe yako, nikiutmie. Natumia simu, siwezi kuipandisha.
Public Service Standing Orders ni muhimu kwa mtumishi, kama vilivyo vitabu vitakatifu vya dini. Pia usisahau Code of Ethics and Conduct, Employment and Labour Act.

Asante mkuu, naku prime minister.
 
Back
Top Bottom