GKM
JF-Expert Member
- Dec 5, 2012
- 738
- 332
Habari wakuu.
Napenda kuwajulisha kuwa STAMICO wameanza kuita watu kazini, mimi binafsi ni mmoja ambaye nimepigiwa simu siku ya jumamosi tar 1 january saa 12.13(sita mchana) na natakiwa kuripoti siku ya jumatatu.
Naombeni muendelee kuwa karibu na simu zenu.
Natanguliza shukrani na namshukuru Mungu sana kwani Mungu ni mwema
Napenda kuwajulisha kuwa STAMICO wameanza kuita watu kazini, mimi binafsi ni mmoja ambaye nimepigiwa simu siku ya jumamosi tar 1 january saa 12.13(sita mchana) na natakiwa kuripoti siku ya jumatatu.
Naombeni muendelee kuwa karibu na simu zenu.
Natanguliza shukrani na namshukuru Mungu sana kwani Mungu ni mwema