STAMICO wameanza kuita watu kazini

STAMICO wameanza kuita watu kazini

Habari wakuu.

Napenda kuwajulisha kuwa STAMICO wameanza kuita watu kazini, mimi binafsi ni mmoja ambaye nimepigiwa simu siku ya jumamosi tar 1 january saa 12.13(sita mchana) na natakiwa kuripoti siku ya jumatatu.

Naombeni muendelee kuwa karibu na simu zenu.

Natanguliza shukrani na namshukuru Mungu sana kwani Mungu ni mwema



Hongera, Nafasi gani?? Kuna jamaa yangu pia kaitwa hiyo tar 1 Feb 2014 nafasi ya Technician yeye kaambiwa kureport tar 04 Feb 2014, wewe nafasi gani
 
ninavoona wanashindwa kujua salary scale kwa sababu inaonekana hakuna anaejua/aliyeajiriwa huko but hawa waliosema wamepata kazi watatuambia wakienda kuripoti huko stamico wanalipaje
 
Habari wakuu.

Napenda kuwajulisha kuwa STAMICO wameanza kuita watu kazini, mimi binafsi ni mmoja ambaye nimepigiwa simu siku ya jumamosi tar 1 january saa 12.13(sita mchana) na natakiwa kuripoti siku ya jumatatu.

Naombeni muendelee kuwa karibu na simu zenu.

Natanguliza shukrani na namshukuru Mungu sana kwani Mungu ni mwema

Mkuu ulikuwa umeomba post gani?
 
Hongera sana kaka, vp watu walioitwa ni watu wa site au head office ya stamico
 
Hongereni sana mliofaulu usahili,ushauri kwenu ni kwamba mkafanye kazi kwa bidii kwa manufaa ya kulijenga taifa..
 
vipi mlopata stamico, kwa ngazi ya degree mishahara ikoje?
 
Jamani kama kuna mtu anayejua mambo yanayoendelea stamico anisaidie

Wewe u mmoja wa waliofanya usaili?

Katika nafasi zote zilifanyiwa usaili tar 5 hadi 13 Dec, 2013 wameshaitwa kazini.

Isipokuwa nafasi za mwezi Feb, 2013 mchakato unamalizikia ili waitwe.

Wewe u upande gani?
 
Wewe u mmoja wa waliofanya usaili?

Katika nafasi zote zilifanyiwa usaili tar 5 hadi 13 Dec, 2013 wameshaitwa kazini.

Isipokuwa nafasi za mwezi Feb, 2013 mchakato unamalizikia ili waitwe.

Wewe u upande gani?

Mkuu watu wa internal audit wameshaanza kuitwa??
 
Mkuu watu wa internal audit wameshaanza kuitwa??

Internal Audit ameshapatikana tayari. Ameshaitwa na kuanza kazi.


Kwa level ya Managers na Directors, mchakato wa vetting unafanyika kwa watu watatu kwa kila nafasi ili apatikane mmoja tu mwenye sifa zote zinazohitajiaka.
 
Me nilifikili wakimaliza usahili watayatangaza majina ya walio faulu kama walivyofanya kwenye majina ya inter view me nilifanya dec 2013
 
Me nilifikili wakimaliza usahili watayatangaza majina ya walio faulu kama walivyofanya kwenye majina ya inter view me nilifanya dec 2013

Pole muungwana.... jamvi limeshaanuliwa tayari.

Mchakato wa kuanza kazi na kupewa barua za ajira kwa wote waliofanya usaili Dec, 13 umekamilika.

Isipokuwa kwa Managers na Directors tu.
 
Pole muungwana.... jamvi limeshaanuliwa tayari.

Mchakato wa kuanza kazi na kupewa barua za ajira kwa wote waliofanya usaili Dec, 13 umekamilika.

Isipokuwa kwa Managers na Directors tu.


Asante Mapinduzi Daima.

Je, waweza kutumegea majina yao walio kwenye vetting kwa ajili ya faida ya wanajanvi naamii?
 
Wewe u mmoja wa waliofanya usaili?

Katika nafasi zote zilifanyiwa usaili tar 5 hadi 13 Dec, 2013 wameshaitwa kazini.

Isipokuwa nafasi za mwezi Feb, 2013 mchakato unamalizikia ili waitwe.

Wewe u upande gani?

Mkuu, Kwa nafasi za mwezi Feb wanategemea kuita lini?
 
Back
Top Bottom