Stakabadhi Ghalani: Naomba Kujuzwa

Stakabadhi Ghalani: Naomba Kujuzwa

Kifyatu

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2010
Posts
3,382
Reaction score
3,224
Najua kuna huu mfumo wa STAKABADHI GHALANI kwa wakulima wa mazao ya kibiashara.

Mie mwenzenu ninapitwa na mengi basi naomba anaeufahamu huu mfumo anijuze.

Tafadhali tumia lugha rahisi ya kueleweka na ufasaha unapouelezea huu mfumo kana kwamba unamfundisha mtoto wa darasa la tatu.

Natanguliza shukrani.
 
Mkuu huu ni mfumo mahususi kuwaokoa wakulima hasa kwa mazao ya biashara kama vile,kahawa,korosho,tumbaku n.k walio ktk vyama vya ushirika "amcos" ama vikundi kwa kupeleka mazao yao ktk viwanda vinavyokoboa ama kuchambua na kuhifadhi ktk maghala yenye viwango kbl ya kupelekwa kuuzwa ktk minada.
 
ambapo huko kunakuwa na bei ya soko kidunia hivyo kuwakwepa walanguzi. Baadhi ya benk hujiingiza humu kutoa mikopo kuwawaishia wakulima fedha wapate pembejeo kbl ya malipo yao mnadani.
 
Back
Top Bottom