cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 115,258
- 185,551
Komwee bhanaa, wee hutaki kulambaa konii?Huu uzi umekaa kijambazi jambazi kwani ulifaa uletwe na Sister Abigail au Demi ama cocastic
Hapa kuna harufu ya dhulma!..![]()



Komwee bhanaa, wee hutaki kulambaa konii?Huu uzi umekaa kijambazi jambazi kwani ulifaa uletwe na Sister Abigail au Demi ama cocastic
Hapa kuna harufu ya dhulma!..![]()



Wanaume hawalambii Azam koniii kwaniii?Wanaume msicomment chochote, huu ni mtego 🥸



Huu uzi wa kipumbavu ungeandikwa na mwngn bc ungekuta amesutwa sana hata angekosa wachangiaji, Ila kwa kuwa n Mshana, bc pipo zipo happy
Nacheka![]()


ila wewee, khaaaah.Nimesema kweli au uongo?ila wewee, khaaaah.
Akha!Komwee bhanaa, wee hutaki kulambaa konii?![]()
Labda wanaume wa huko pwani, sisi wengine hata kuigusa hadharani tu ni mtihani 🙌Wanaume hawalambii Azam koniii kwaniii?![]()
Wee kumbee?Labda wanaume wa huko pwani, sisi wengine hata kuigusa hadharani tu ni mtihani![]()
Coca ! ,,mimi tena, kumbe mimi !🧐. Kwamba mimi ni mtumiaji au unataka kusemaje yaani 😸🥸!Wee kumbee?
Ww nae unaogopa kusema ukweli 😂Km vilee,![]()
Coca ! ,,mimi tena, kumbe mimi !. Kwamba mimi ni mtumiaji au unataka kusemaje yaani
🥸!


