Mwanakili90
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,568
- 245
Wana MMU habari,
Kwanza kabisa napenda kutoa laana zangu za dhati kwa yule member aliyesema MMU Ifungwe.
Pili, ningependa tujadili swala la kulia msibani,
Kuna watu wanalia kwa staha na kuonyesha machungu yao toka moyoni,ila kuna kundi la pili ambalo linakua kwa kasi,la waombolezaji wanaolia kwa unafiki na kebehi.
Utakuta mtu analia na kugaragara chini,kuanzia sebuleni mpaka nje ya nyumba.
Jaman huu ni ungwana?
Kwanza kabisa napenda kutoa laana zangu za dhati kwa yule member aliyesema MMU Ifungwe.
Pili, ningependa tujadili swala la kulia msibani,
Kuna watu wanalia kwa staha na kuonyesha machungu yao toka moyoni,ila kuna kundi la pili ambalo linakua kwa kasi,la waombolezaji wanaolia kwa unafiki na kebehi.
Utakuta mtu analia na kugaragara chini,kuanzia sebuleni mpaka nje ya nyumba.
Jaman huu ni ungwana?