Jamani staili hii ya kupanda miti ni balaa, nafikiri upandaji miti wa namna hii unapaswa kufanywa na jinsia moja tu maana wakiwepo wengine sina hakika kama kutakuwa na upandaji tena.
Mtoa thready hii umeenda mbali sana kuhusiana na hiyo picha! mimi naona huyo mama anapanda miti vizuri tu bila wasiwasi wowote na anawajibika ipasavyo sio kama upandaji miti kwa staili hii:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.