Na wewe kapuku kama mimi unastahili nini?Hakika wanastahili watumishi wetu hao....
Mzigo waubebao ni mzito mno....
Uzalendo wetu kwao ni kuendelea kuwahudumia kama hivyo ilivyoainishwa!!
#Viongozi wetu ni TUNU yetu watanzania !
Na wewe kapuku kama mimi unastahili nini?Hakika wanastahili watumishi wetu hao....
Mzigo waubebao ni mzito mno....
Uzalendo wetu kwao ni kuendelea kuwahudumia kama hivyo ilivyoainishwa!!
#Viongozi wetu ni TUNU yetu watanzania !
Kapuku mimi ninastahili kuendelea kuiona hii AMANI ,UTULIVU na USALAMA uliopo kutokana na kazi kubwa ifanywayo na hao mawaziri wetu wakuu .....Na wewe kapuku kama mimi unastahili nini?
Argumentum ad hominem !KWenye vyeti vyako sidhani kama unakosa BACHELOR OF ARTS IN CRITICISING AND HYPROCRISY
Watumishi wako wengi mkuu ..... mawaziri wakuu ni wachache....Na wakati huo huo mtumishi aliyestaafu baada ya utumishi wa miaka 40 analipwa na hazina sh 110,000 kwa mwezi - AIBU!!
Mwenye kifua kipana ndio PM ajaeBiteko naye achangamke hicho cheo kiainishiwe stahiki zake kisheria kama hivi kabla hayajajirudia ya Lyatonga!
Kassim bado atakula MEMA ya nchi mpaka kifoKwa mujibu wa Sheria-Political Service Retirement Benefits ya 2020. Waziri Mkuu Mstaafu anapata stahiki zifuatazo,
**Mbali na pensheni na gratuity baada Tu ya kuachia ofisi.
Mengineyo
1. Mshahara (80% ya Mshahara wa Waziri Mkuu aliyepo madarakani),
2. Ulinzi (mpaka kifo),
3. Gari na dereva (SUV),
4. Diplomatic passport,
5. Matibabu nje ya nchi,
6.
Wakifa wazikwe kwenye makaburi maalum ili wasiozeNa hakuna kufa
Aiseee.....Hakika wanastahili watumishi wetu hao....
Mzigo waubebao ni mzito mno....
Uzalendo wetu kwao ni kuendelea kuwahudumia kama hivyo ilivyoainishwa!!
#Viongozi wetu ni TUNU yetu watanzania !
Ndio Mheshimiwa Dakta Majaliwa anastaafu Oktoba 2025Kwani kuna mtu ana staafu