First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,310
- 1,473
Baadhi ya wataalamu wa mapenzi wamethibisha kwamba hii kitu stage ni muhimu sana kwenye maisha ya mtu yeyote yule!!!
Namaanisha hivi,
Kuanzia unapozaliwa lazima uwe umejihusisha na michezo yooote ya utotoni kama vile kombolela, mdako, mchezo wa kufichana, kuruka kamba, kupika ugali wa mkojo nk
unapofikia hatua ya kubalehe pia ufanye mambo wanayofanya vijana wenzio kama vile kuwa katika mahusiano ya kirafiki na watu wa jinsia tofauti nk,
Hasahasa sababu ya kufanya hivyo ni kumaint tabia ya mtu kwamba iwe inabadilika kulingana na anavyozidi kukua
Hii imekuwa gumzo mitaani kutokana na baadhi ya wazee kushindania mapenzi na vijana wadogo, unakuta jibaba lina miaka 65 linafukuzia kabinti ka miaka 16 bila aibu, jimama miaka 70 linamtaka kavulana ka miaka 18.
kiutafiti inasemekana kwamba most of these guys didnt pass well accordingly with response to their stages, alivyokuwa mtoto alibaniwa na wazazi wake na hakupata nafasi ya kuchafuka kucheza kombolela nk, alipokuwa kijana alikuwa bize na shule etc
so Psychollogically wana compasate hata kama yeye mwenyewe hajitambui kuwa anafanya hivyo.
ADVICE:
Hakuna haja ya kujizuia sana kufanya baadhi ya vitu vilivyoko kwenye stage yako ili usije ukawa gumzo baadae i.e usije uka admire mambo ya wajukuu zako wakati ukiwa mm-babu au m-baba kisa hukuvifanya utotoni/ujanani.
Namaanisha hivi,
Kuanzia unapozaliwa lazima uwe umejihusisha na michezo yooote ya utotoni kama vile kombolela, mdako, mchezo wa kufichana, kuruka kamba, kupika ugali wa mkojo nk
unapofikia hatua ya kubalehe pia ufanye mambo wanayofanya vijana wenzio kama vile kuwa katika mahusiano ya kirafiki na watu wa jinsia tofauti nk,
Hasahasa sababu ya kufanya hivyo ni kumaint tabia ya mtu kwamba iwe inabadilika kulingana na anavyozidi kukua
Hii imekuwa gumzo mitaani kutokana na baadhi ya wazee kushindania mapenzi na vijana wadogo, unakuta jibaba lina miaka 65 linafukuzia kabinti ka miaka 16 bila aibu, jimama miaka 70 linamtaka kavulana ka miaka 18.
kiutafiti inasemekana kwamba most of these guys didnt pass well accordingly with response to their stages, alivyokuwa mtoto alibaniwa na wazazi wake na hakupata nafasi ya kuchafuka kucheza kombolela nk, alipokuwa kijana alikuwa bize na shule etc
so Psychollogically wana compasate hata kama yeye mwenyewe hajitambui kuwa anafanya hivyo.
ADVICE:
Hakuna haja ya kujizuia sana kufanya baadhi ya vitu vilivyoko kwenye stage yako ili usije ukawa gumzo baadae i.e usije uka admire mambo ya wajukuu zako wakati ukiwa mm-babu au m-baba kisa hukuvifanya utotoni/ujanani.