Nimeumia nini!Umeumia?
Sasa mafanikio ya Idrisa yananihusu nini Mimi!?Kauli kama hizo zako ni wale ambao hua mnaumia roho na mafanikio ya wengine hata kusikia habari zao mnachefukwa
Jamaa ana wivu Kama Demu Ila ungemtaja Tu Harmonize Wala asingeuliza swali la Kisengerema HiviUmeumia?
Yaani umeandika kana kwamba hii ni platform yako binafsi au kana kwamba jamaa hizo taarifa kakuletea nyumbani kwako! Yaani mtu asipost kitu humu eti kwa sababu wewe hakikuhusu?Sasa mafanikio ya Idrisa yananihusu nini Mimi!?
Huu uzi umeufungua kwa kushikiwa smg?Sasa mafanikio ya Idrisa yananihusu nini Mimi!?
Umeibukia huku tena!? Issue ya kibamia chako nilivyokushauri kumuona tabibu umeielewa!?Jamaa ana wivu Kama Demu Ila ungemtaja Tu Harmonize Wala asingeuliza swali la Kisengerema Hivi
Njoo nikupigie nao Ili Ujue Nina kiba100 au sinaUmeibukia huku tena!? Issue ya kibamia chako nilivyokushauri kumuona tabibu umeielewa!?
😀 😀 😀 wewe ni kibamia. Comments zako hizi zinadhihilisha.Njoo nikupigie nao Ili Ujue Nina kiba100 au sina
Wee jamaa ni mbulula sana.Unataka sisi tufanye nini sasa!?
Wewe ni kipara ndezi.Wee jamaa ni mbulula sana.
Umekimbia uzi wako wa EV kwa sababu ya ujuaji kumbe hakuna kitu unajua mzeiya.Wewe ni kipara ndezi.
Kumbe wewe ni follower wangu!?Umekimbia uzi wako wa EV kwa sababu ya ujuaji kumbe hakuna kitu unajua mzeiya.