St. Francis Mbeya kuna siri gani?

Mdwe
Elimu ya siku hizi imekuwa mdebwedo sana! Ukitaka kujua hili waulize walimu wa vyuo na waajiri. Binafsi sio Mara moja nimewafanyia interview vijana kwenye mambo ya kazi na naishia kusikitika jinsi uelewa wao ulivyo wa mashaka.
Mdwebedo huo upo kwa private tu ambao mtihan ni mmoja lakini ukienda serikali huko vijijin ni masifuri na four😂
 
Watanzania tuko kinyume sana na mafanikio ya wengine......mioyo yetu na akili zetu muda wote zinatarajia habari mbaya na maanguko ya watu baada ya mafanikio......

Taarifa za mafanikio ya mtu au kikundi cha watu tunazipokea kwa mshituko wa chuki na hasira ili kufurahisha mioyo yetu hasi tunatafuta namna ya kuyatia doa mafanikio hayo.......

Wengi wetu hatutambui na kuthamini juhudi za watu wengine juu ya mafanikio yao badala yake tunawapachika majina mabaya......

Ili uishi Tanzania unatakiwa kuwaelewa watanzania na hawa ndio waTanzania kwa wingi wao......

Hongereni ST FRANCIS MBEYA juhudi zenu zimeonekana na kuwaangaza kwa watu wanaoshangilia na kufurahia mafanikio ya watu.....
Hujakosea hata kidogo,Watanzania wengi tumeumbwa na roho za ajabu sana,kupongeza juhudi na mafanikio ya mtu ni nadra sana,mtu akiwa tajiri ni mwizi au freemason anaua ndugu zake wakati wewe unashinda kutwa Simba ,Yanga.
Nimewahi kusikia wakati wa Ndalichako hizi St kuwa zilikuwa zinapendelewa,mbona Ndalichako hayupo na bado zinadunda?Tupunguze wivu.....Hongereni sana wale mliofanya vyema
 
Na mwaka wamefanya tena kinyaa
 

Attachments

  • Screenshot_2024-01-25-19-39-42-78.png
    Screenshot_2024-01-25-19-39-42-78.png
    33.8 KB · Views: 2
Aliyefaulu kiukweli bila kuiba mtihani ni huyo wa Ilboru, kipindi nimeenda advance level darasa letu lilikuwa na hao waliotoka st Francis na kila mtu aliwaogopa chakushangaza mtihani wa kwanza marks walizopata ni tofauti na hizo one zao. Huko private ni business kwa kwenda mbele na solving za paper kwa ajili ya kupata A za kutosha wakati zikija kitaa inputs yake ni zero kabisa
Vyuoni wengine wanaacha vyuo kabisa
 
Hujakosea hata kidogo,Watanzania wengi tumeumbwa na roho za ajabu sana,kupongeza juhudi na mafanikio ya mtu ni nadra sana,mtu akiwa tajiri ni mwizi au freemason anaua ndugu zake wakati wewe unashinda kutwa Simba ,Yanga.
Nimewahi kusikia wakati wa Ndalichako hizi St kuwa zilikuwa zinapendelewa,mbona Ndalichako hayupo na bado zinadunda?Tupunguze wivu.....Hongereni sana wale mliofanya vyema
Ila yeye anaetuhumu akipata utajiri ni halali,waafrika bure kabisa!
 
Ujinga punguza kaangalie majina ya hao watoto kama kuna mnyakyusaa
Ungemrekebisha katika hoja yake, ila kusema Wanyakyusa hawapo ni kujidanganya. Kuna wanyakyusa kwa majina yao na kuna wasiotumia majina ambayo ya identify asili yao.
 
Vyuoni wengine wanaacha vyuo kabisa
Kwa hiyo watu wanavyoshonana huko kila mwaka kutafutia watoto wao mafasi kwenye hizo shule, lengo lao ni watoto wakifika vyuo vikuu wakimbie elimu?
Nitafutia mmoja tu unayemjua wewe aliyetoka hizo shule ambaye alikimbia chuo sababu ya ugumu wa masomo.
 
Ungemrekebisha katika hoja yake, ila kusema Wanyakyusa hawapo ni kujidanganya. Kuna wanyakyusa kwa majina yao na kuna wasiotumia majina ambayo ya identify asili yao.
Yaan siko hanta into wanyaki .nachukia maukanda na maukabila hiyo shule haihusiani lolote na mbeya pride ikihamia zanzibar itapata the same marks heshima iende kwa kanisa katoliko
 
Yaan siko hanta into wanyaki .nachukia maukanda na maukabila hiyo shule haihusiani lolote na mbeya pride ikihamia zanzibar itapata the same marks heshima iende kwa kanisa katoliko
Ndiyo maana nikakushauri kwamba, mrekebishe katika namna ya kuto dis wengine, wengi tunachukia ukanda sababu una madhara kuliko faida.
Jinsi ulivyoiweka inaonyesha unawachukia watu wa kanda fulani, kama yeye anavyojaribu kuwapa sifa watu wa kanda hiyo.
 
Back
Top Bottom