Boys huwa wanatoa comments kama hii uliotoa. Watu wanatumia vitu kulingana na uwezo wao wa kifedha au misimamo yao. Kingine wewe unaweza kujisifia unatumia cologne ya 300,000/- wakati umepigwa tu wenzio tunanunua $50. Kuna cologne kibao hapa mjini(OG) zinauzwa 150,000-200,000 lakini wenigne tunazinunua kwa $30-50 tu.