GP
JF-Expert Member
- Feb 5, 2009
- 2,049
- 160
kipindi cha spoti kizaazaa ITV jumapili usiku mida ya saa tatu aka "hospitali ya michezo",
kipindi hiki huwa nakifuatilia sana, lakini nashngazwa na jamaa mmoja mle ndani anaitwa abdul kipenga, huyu jamaa sijui ana bifu na sunday kayuni???
hata iwe topic gani asipomzungumzia sunday kayuni kwamba hafai tff haoni raha!, huwa ananiboa sana.
kipindi hiki huwa nakifuatilia sana, lakini nashngazwa na jamaa mmoja mle ndani anaitwa abdul kipenga, huyu jamaa sijui ana bifu na sunday kayuni???
hata iwe topic gani asipomzungumzia sunday kayuni kwamba hafai tff haoni raha!, huwa ananiboa sana.