Wasafi FM Sports : Yusuph Mkule anatia aibu redio yenu.

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Dec 26, 2015
2,536
4,513
Kwenye hili sakata la Mtibwa Sugar na madai yao juu ya Msheri kwa Yanga...

Sakata lilianza jana jioni kwenye sports Court PAUL MKAI akiwa na GEORGE AMBANGILE(Mchambuzi Bora kwa sasa)...ikiwa tumesikiliza malalamiko ya THOBIAS KIFARU(Msemaji wa MTIBWA) kuwa bado wanawadai YANGA pesa za uhamisho wa Msheri...

Baada ya kusikiliza hayo...akamhoji AMBANGILE, AMBANGILE akajibu "SIWEZI KULISEMEA JAMBO AMBALO LIMESEMWA UPANDE MMOJA" ikawa imeisha hivyo...

YUSUPH MKULE leo kwenye SPORTS ARENA akawa kama ameliapia vile...kalipania...kalishupalia sakata hili... studioni alikuwepo MKONGWE EDO KUMWEMBE, GEORGE JOB(ambaye ni meneja wa Msheri), vichambuzi vitoto ambavyo vinalopoka lopoka tu bila kuhoji suala limezungumziwa na pande ya pili?...

Yusuph mkule baada ya kuwauliza hivi vichambuzi vitoto vimelopoka tu bila weledi...akamuuliza EDO KUMWEMBE...Mkongwe akamwelesha Mkule mambo jinsi yalivyo...lakini MKULE hakutaka kuelewa akashupaza shingo...EDO KUMWEMBE(ambaye ni boss wao AKAPIGA KIMYA KWA HEKIMA KUBWA).

Akalipeleka swali tena kwa GEORGE JOB Kama meneja wa mchezaji tajwa anazungumziaje taarifa hizo..JOB akamjibu..."MIMI SIPO KATIKA NAFASI YA KUZUNGUMZIA MASUALA YA MTIBWA NA YANGA, MIMI NIULIZE KUHUSU MASLAHI YA MCHEZAJI WANGU NITAKUJIBU, KWAHIYO SAKATA LA MTIBWA NA YANGA KAMA WAMELIPANA AU LA...HILO HALINIHUSU."

Yusuph Mkule alivyo kichwa ngumu, hakuelewa majibu wa JOB, akataka kuibua jambo jipya kwa Kumuuliza JOB Swali ambalo halipo kabisa wala halina msingi la kipuuzi eti ,"YANGA WAMEKAMILISHA MATAKWA YA KIMKATABA YA MSHERI?", JOB Alivyo bright alimjibu very short and clear...kuwa "MKATABA WA MSHERI NA YANGA UKO SEHEMU SAHIHI."

Baada ya hapo...leo tena jioni tukategemea atakuja na majibu yaliyotoka kwa YANGA juu ya sakata hili upande wao wanalizungumziaje...

Kituko kaja na mahojiano ya kipuuzi na maswali ya KIJINGA yasiyotumia akili wala weledi kwa MWENYEKITI WA BODI YA LIGI na MWENYEKITI WA SPORTANZA, Swali lake eti, "KUNA UWEZEKANO WA YANGA KUPOKWA POINTS KWA SABABU YA SUALA HILO LA MAUZO TA MSHERY".

Pamoja na swali halikuwa na maana na limeulizwa kwa watu wasio na tija juu ya sakata hili kwa sasa...lakini walimpa elimu kuwa halipo hivyo anavyo fikiri...

Sasa hii si aibu kwa tasnia ya habari...?

Yaani mtangazaji kama MKULE raising a discussion on matter based on one-sided argument?

Edo kumwembe REKEBISHA HII AIBU...Huyu ana chuki za wazi Kwa Yanga kama wenzake SHAFII DAUDA na JEMEDARI..wakati RADIO YENU ni katika RADIO Inayofuatiliwa na wengi kwa weledi na wachambuzi bora kama WEWE MWENYEWE EDO, AMBANGILE NA JOB...

Hebu Tafuta watangazaji wenye weledi kama AHMED ABDALLAAH...

SASA KWA MFANO YANGA INAPORWAJE POINTS KWENYE SAKATA LA MADAI YA KIMKATABA?

Mbona ni jambo lipo wazi hata kama hujasoma kanuni ..? Hii ni aibu...

Hapa sijazungumzia hujuma za wazi za kitaarifa anazozifanya pale ambapo yanga imecheza mechi na ikashinda tofauti na pale inapofungwa..

Alafu kutwa kulala eti maafisa wa YANGA hawapokei simu zake...sasa watapokeaje kwa upuuzi kama huo...YUSUPH MKULE anajidharaulisha mwenyewe...

Heshimu kibarua chako...

YUSUPH MKULE NI AIBU WASAFI MEDIA...
 
Haya tumekusikia Alex lwambano mwenye weledi,. Wakati mwingne media wanakosa content kwahyo wanajaribu kuibua Mambo madogo madogo ili kusogeza siku mbele kupata content zinazoemdana na kipindi husika
 
Kwenye hili sakata la Mtibwa Sugar na madai yao juu ya Msheri kwa Yanga...

Sakata lilianza jana jioni kwenye sports Court PAUL MKAI akiwa na GEORGE AMBANGILE(Mchambuzi Bora kwa sasa)...ikiwa tumesikiliza malalamiko ya THOBIAS KIFARU(Msemaji wa MTIBWA) kuwa bado wanawadai YANGA pesa za uhamisho wa Msheri...

Baada ya kusikiliza hayo...akamhoji AMBANGILE, AMBANGILE akajibu "SIWEZI KULISEMEA JAMBO AMBALO LIMESEMWA UPANDE MMOJA" ikawa imeisha hivyo...

YUSUPH MKULE leo kwenye SPORTS ARENA akawa kama ameliapia vile...kalipania...kalishupalia sakata hili... studioni alikuwepo MKONGWE EDO KUMWEMBE, GEORGE JOB(ambaye ni meneja wa Msheri), vichambuzi vitoto ambavyo vinalopoka lopoka tu bila kuhoji suala limezungumziwa na pande ya pili?...

Yusuph mkule baada ya kuwauliza hivi vichambuzi vitoto vimelopoka tu bila weledi...akamuuliza EDO KUMWEMBE...Mkongwe akamwelesha Mkule mambo jinsi yalivyo...lakini MKULE hakutaka kuelewa akashupaza shingo...EDO KUMWEMBE(ambaye ni boss wao AKAPIGA KIMYA KWA HEKIMA KUBWA).

Akalipeleka swali tena kwa GEORGE JOB Kama meneja wa mchezaji tajwa anazungumziaje taarifa hizo..JOB akamjibu..."MIMI SIPO KATIKA NAFASI YA KUZUNGUMZIA MASUALA YA MTIBWA NA YANGA, MIMI NIULIZE KUHUSU MASLAHI YA MCHEZAJI WANGU NITAKUJIBU, KWAHIYO SAKATA LA MTIBWA NA YANGA KAMA WAMELIPANA AU LA...HILO HALINIHUSU."

Yusuph Mkule alivyo kichwa ngumu, hakuelewa majibu wa JOB, akataka kuibua jambo jipya kwa Kumuuliza JOB Swali ambalo halipo kabisa wala halina msingi la kipuuzi eti ,"YANGA WAMEKAMILISHA MATAKWA YA KIMKATABA YA MSHERI?", JOB Alivyo bright alimjibu very short and clear...kuwa "MKATABA WA MSHERI NA YANGA UKO SEHEMU SAHIHI."

Baada ya hapo...leo tena jioni tukategemea atakuja na majibu yaliyotoka kwa YANGA juu ya sakata hili upande wao wanalizungumziaje...

Kituko kaja na mahojiano ya kipuuzi na maswali ya KIJINGA yasiyotumia akili wala weledi kwa MWENYEKITI WA BODI YA LIGI na MWENYEKITI WA SPORTANZA, Swali lake eti, "KUNA UWEZEKANO WA YANGA KUPOKWA POINTS KWA SABABU YA SUALA HILO LA MAUZO TA MSHERY".

Pamoja na swali halikuwa na maana na limeulizwa kwa watu wasio na tija juu ya sakata hili kwa sasa...lakini walimpa elimu kuwa halipo hivyo anavyo fikiri...

Sasa hii si aibu kwa tasnia ya habari...?

Yaani mtangazaji kama MKULE raising a discussion on matter based on one-sided argument?

Edo kumwembe REKEBISHA HII AIBU...Huyu ana chuki za wazi Kwa Yanga kama wenzake SHAFII DAUDA na JEMEDARI..wakati RADIO YENU ni katika RADIO Inayofuatiliwa na wengi kwa weledi na wachambuzi bora kama WEWE MWENYEWE EDO, AMBANGILE NA JOB...

Hebu Tafuta watangazaji wenye weledi kama AHMED ABDALLAAH...

SASA KWA MFANO YANGA INAPORWAJE POINTS KWENYE SAKATA LA MADAI YA KIMKATABA?

Mbona ni jambo lipo wazi hata kama hujasoma kanuni ..? Hii ni aibu...

Hapa sijazungumzia hujuma za wazi za kitaarifa anazozifanya pale ambapo yanga imecheza mechi na ikashinda tofauti na pale inapofungwa..

Alafu kutwa kulala eti maafisa wa YANGA hawapokei simu zake...sasa watapokeaje kwa upuuzi kama huo...YUSUPH MKULE anajidharaulisha mwenyewe...

Heshimu kibarua chako...

YUSUPH MKULE NI AIBU WASAFI MEDIA...
Kuna watu wanaanza kutafuta ushindi wa mezani.
 
Msi mlaumu mkule, anavyo hoji na kujibu ndivyo ulewa wake ulipo fikia. Binadamu hawapo sawa katika uelewa ata kama wewe unaona ni jambo rahisi na lipo wazi, mwenzako analiona gumu na linahitaji ufafanuzi. Inabidi tuwavumilie ndio wachambuzi wetu ao.
 
Usichojua YUSUFU MKULE n mwana yanga lialia kabisaa

Ile n mind game TU akijifanya kubalance story kuwa Hana utimu

Mkule anakadi kabisaa ya yanga namjua toka akiwa njombe iringa na had Sasa hapa dsm
 
Usichojua YUSUFU MKULE n mwana yanga lialia kabisaa

Ile n mind game TU akijifanya kubalance story kuwa Hana utimu

Mkule anakadi kabisaa ya yanga namjua toka akiwa njombe iringa na had Sasa hapa dsm
Kuwa mwanayanga hakumfanyi awe na maarifa, anatakiwa atafute maarifa Kwa kusoma au kuuliza Kwa wenye maarifa zaidi la sivyo ataendelea kuonekana kituko.
 
Wachambuzi na mambo ya mikataba wapi na wapi?
Mchang’ombe yeye yake mechi na combination za ununuzi mambo ya malipo na mikataba wanajua jua tuu ila sio kwa weledi. Wachan’ombe wengi huku kwetu ni machinoo
 
Yanga msiwe wakali.....
Dawa ya Deni mbona inafahamika, ni Juzi tu GSM katoka kuzitapeli team zote za ligi kuu, leo tena mnatoweka na Pesa ya Mtibwa.
Pokeeni simu asee muwape hela watu wanataka kupanda miwa...
Msimu wa mvua huuu
 
Kwenye hili sakata la Mtibwa Sugar na madai yao juu ya Msheri kwa Yanga...

Sakata lilianza jana jioni kwenye sports Court PAUL MKAI akiwa na GEORGE AMBANGILE(Mchambuzi Bora kwa sasa)...ikiwa tumesikiliza malalamiko ya THOBIAS KIFARU(Msemaji wa MTIBWA) kuwa bado wanawadai YANGA pesa za uhamisho wa Msheri...

Baada ya kusikiliza hayo...akamhoji AMBANGILE, AMBANGILE akajibu "SIWEZI KULISEMEA JAMBO AMBALO LIMESEMWA UPANDE MMOJA" ikawa imeisha hivyo...

YUSUPH MKULE leo kwenye SPORTS ARENA akawa kama ameliapia vile...kalipania...kalishupalia sakata hili... studioni alikuwepo MKONGWE EDO KUMWEMBE, GEORGE JOB(ambaye ni meneja wa Msheri), vichambuzi vitoto ambavyo vinalopoka lopoka tu bila kuhoji suala limezungumziwa na pande ya pili?...

Yusuph mkule baada ya kuwauliza hivi vichambuzi vitoto vimelopoka tu bila weledi...akamuuliza EDO KUMWEMBE...Mkongwe akamwelesha Mkule mambo jinsi yalivyo...lakini MKULE hakutaka kuelewa akashupaza shingo...EDO KUMWEMBE(ambaye ni boss wao AKAPIGA KIMYA KWA HEKIMA KUBWA).

Akalipeleka swali tena kwa GEORGE JOB Kama meneja wa mchezaji tajwa anazungumziaje taarifa hizo..JOB akamjibu..."MIMI SIPO KATIKA NAFASI YA KUZUNGUMZIA MASUALA YA MTIBWA NA YANGA, MIMI NIULIZE KUHUSU MASLAHI YA MCHEZAJI WANGU NITAKUJIBU, KWAHIYO SAKATA LA MTIBWA NA YANGA KAMA WAMELIPANA AU LA...HILO HALINIHUSU."

Yusuph Mkule alivyo kichwa ngumu, hakuelewa majibu wa JOB, akataka kuibua jambo jipya kwa Kumuuliza JOB Swali ambalo halipo kabisa wala halina msingi la kipuuzi eti ,"YANGA WAMEKAMILISHA MATAKWA YA KIMKATABA YA MSHERI?", JOB Alivyo bright alimjibu very short and clear...kuwa "MKATABA WA MSHERI NA YANGA UKO SEHEMU SAHIHI."

Baada ya hapo...leo tena jioni tukategemea atakuja na majibu yaliyotoka kwa YANGA juu ya sakata hili upande wao wanalizungumziaje...

Kituko kaja na mahojiano ya kipuuzi na maswali ya KIJINGA yasiyotumia akili wala weledi kwa MWENYEKITI WA BODI YA LIGI na MWENYEKITI WA SPORTANZA, Swali lake eti, "KUNA UWEZEKANO WA YANGA KUPOKWA POINTS KWA SABABU YA SUALA HILO LA MAUZO TA MSHERY".

Pamoja na swali halikuwa na maana na limeulizwa kwa watu wasio na tija juu ya sakata hili kwa sasa...lakini walimpa elimu kuwa halipo hivyo anavyo fikiri...

Sasa hii si aibu kwa tasnia ya habari...?

Yaani mtangazaji kama MKULE raising a discussion on matter based on one-sided argument?

Edo kumwembe REKEBISHA HII AIBU...Huyu ana chuki za wazi Kwa Yanga kama wenzake SHAFII DAUDA na JEMEDARI..wakati RADIO YENU ni katika RADIO Inayofuatiliwa na wengi kwa weledi na wachambuzi bora kama WEWE MWENYEWE EDO, AMBANGILE NA JOB...

Hebu Tafuta watangazaji wenye weledi kama AHMED ABDALLAAH...

SASA KWA MFANO YANGA INAPORWAJE POINTS KWENYE SAKATA LA MADAI YA KIMKATABA?

Mbona ni jambo lipo wazi hata kama hujasoma kanuni ..? Hii ni aibu...

Hapa sijazungumzia hujuma za wazi za kitaarifa anazozifanya pale ambapo yanga imecheza mechi na ikashinda tofauti na pale inapofungwa..

Alafu kutwa kulala eti maafisa wa YANGA hawapokei simu zake...sasa watapokeaje kwa upuuzi kama huo...YUSUPH MKULE anajidharaulisha mwenyewe...

Heshimu kibarua chako...

YUSUPH MKULE NI AIBU WASAFI MEDIA...
Pumbavu nyie lipeni deni la mtibwa.. wachambuzi hakuna walichokosea au mlitaka waendelee kupamba upuuzi wanaoufanya viongozi wenu ndo muone wazuri.. dawa ya deni ni kulipa sio kuwapiga mkwara wanahabari
 
Back
Top Bottom