Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 43,905
- 150,212
- Thread starter
- #161
Asante kiongozi ...mapendekezo yako naona yalitimia kwa HoffenheimBaada ya heka heka na pilika pilika za champions league now bundesliga is back!!!!!
Tuweke kando homa za uefa maana imebaki story, wale wa kubebwa wamebebwa na kubebeka now lets focus kwenye michezo ya weekend hii ambapo upande wa BL sherehe zinaanza leo saa 3:30 (tatu na nusu) usiku huu ambapo fc cologne (koln) ikiongozwa na striker wao Anthony modeste itakua kibaruani dhidi ya Hoffenheim.
Hoffenheim wenyewe wakiongozwa na kocha wao mdogo kabisa kuwahi kutokea katika ligi kuu ya ujerumani Nagelsman (miaka 28) wanahitaji droo tu ili waweza kujihakikishia kucheza michuano ya ulaya mwakani (either uefa au europa) kwa mara ya kwanza katika historia ya timu hyo.
Isitoshe endapo Hertha berlin itamfunga wolfsburg hapo kesho na hoffeinhem ikashinda leo basi vijana wa Nagelsmann watakua wamejihakikishia kucheza uefa hapo mwakani. Yatakua ni mafanikio makubwa sana kwa kocha wao Nagelsmann maarufu kama "baby mourinho" mwenye umri mdogo kuliko baadhi ya wachezaji wake.
Anthony modeste ye atakua anacheza na timu yake ya zamani, ambapo hadi sasa ana magoli 23 kwenye ligi kazidiwa na PEA na Lewa pekee.
star times mechi itakua live WORLD FOOTBALL
Japo walimiliki mpira haswa Hoffenheim iliwachukua mpaka dakika as lala salama kupata bao make Koln japo kuna kipindi walikuwa wanapoteana uwanjani lakin making nzuri iliwachukua daki 58 kujipatia bao Hector akimpasia vyema Bittencourt ...
Mfumo wao Hoffenheim 3-1-4-2 niliupenda na wananyumbulila haswa ...haikuwa bahati yao Koln make 93 kusawazisha na kujihakikishia nafasi ya 3 credit keep Hoffenheim