hahahahahahaaaa nimemuona na ameamua kujitetea.Kama ulikuwa kichwani mkuu nilitaka niiweke hiyo minofu ila nkapotezea ...asante kwa ukumbusho ...uliona ujinga alioufanya Cahil bao la pili yeye aliona yuko sahihi kabisa kumuamsha opponent
Mkuu kama wewe ni shabiki wa Chelsea kwenye "Chelsea special thread ile mechi ya 1-0 hii post naimani ulikutana nayo ...mukishinda ndio munakuwa wachambuzi sana. Siku ya 4:0 na 1:0 haya maneno hatukuyasikia!
Sawa bt sio factor kubwa ya kufungwa chelsea ndo maana pundits wengi hawajaongelea sana hilo la mkonoNi kweli mkuu ila hapo umenena kishabiki mkuu
Umenena vyema ...acha tuone kesho droo inakuwaje ...heshima kwako lee empire unajua juventus baada ya kupoteza ile final dhidi ya barcelona mwaka juzi kwa mtazamo wangu wao ndio timu pekee barani ulaya ambayo imeamua kufanyia marekebisho kikosi chake, tulizoea kuona juventus wakicheza zaidi mfumo wa aina moja tu mechi zote wa 3+5+2 ila kwa sasa juventus wana uwezo wa kuchea style yoyote ile na ndio maana wamekuwa tishio kutokana na uimarishaji timu walioufanya.
heshima iwe juu yake Beppe marotta kwa kazi nzuri anayoifanya. namuomba mungu nusu final iwe kati ya madrid na juventus halafu gemu ianze bernabeu,
natamani
nishuhudie timbwili la mchezaji bora wa dunia wa mwaka huu Marcelo 12 na dani alves.
Madrid wanajitambua.Umenena vyema ...acha tuone kesho droo inakuwaje ...