Braza... uko vizuri..Marefa huwa wanalaumiwa pale wanapotoa card na pale wanapoacha kutoa card kwa usahihi.... Duniani kote ipo hivyo...
FA ya uingereza ina nguvu sana ila Imefanikiwa kuzifanya Sheria 17 za soka kuwa na nguvu kuliko FA yenyewe, mashabiki wake, vilabu vyao na hata pesa na umaarufu wao vyote hivyo vimekubali kutii sheria bila shuruti.
Leo mtu anafunga kwa mkono na hakuna fujo, Leo mtu anafunga goli akiwa kaotea(offside) hakuna fujo, Leo mtu anapata red card isiyosahihi hakuna fujo, leo refa anatoa maamuzi tata hakuna fujo..... FA imefanikiwa kuwaaminisha na kuwafanya mashabiki wake waamini sana na waheshimu sana katika Sheria 17 za soka mbali na ushabiki wao.
Hakuna fujo katika ligi kuu uingereza sababu ya Waamuzi..... Hakuna vifungo virefu kwa waamuzi sababu ya makosa ya mchezo, hakuna hukumu nzito sababu ya maamuzi mabovu...... FA na mashabiki wake hawa wahukumu waamuzi sababu ya maamuzi yao ila tafsiri ya sheria 17 ndio inayowahukumu waamuzi. Ndio maana Atkinson, Dean, cluttenbuge na wengine Wengi wanaishi na kuendelea kuheshimika katika maamuzi yao japo wanakosea na kuishi katika msimamo wao.
Katika kila mchezo katika ligi ya uingereza makosa ya waamuzi yapo yakutosha ila hakuna fujo sababu FA haitoi adhabu ili kumridhisha shabiki wa mchezo husika.... FA inatoa adhabu kukosoa maamuzi ambayo Kila mtu aliamini yalikuwa sio sahihi kutokana na sheria.......
Martin Saanya na waamuzi wake wanashindia kifungo kwa kosa la kukataa goli la Ibrahim Ajibu Migomba na kukubali goli la Hamisi Tambwe pamoja na kutoa kadi nyekundu isiyo halali kwa Jonas Mouse..... Dah hapa ni nje na mbali sana ya FA ile yenye kupiga hatua nyingi mbele..... Hapa FA yetu imeshindwa kuzifanya Sheria 17 ziwe kubwa kuliko vilabu vyetu, ziwe kubwa kuliko mashabiki wote na pia kuwafanya waamuzi waheshimike na waaminiwe katika maamuzi yao. Hapa Saanya na wenziwe lazima wawe na uoga katika maamuzi, wawe na maamuzi yakusuasua na wasijiamini. Leo Martin Saanya na wenzie wakitoka kifungoni nani atawaamini wao na maamuzi yao katika michezo watakayochezesha.
Point....
FA ime clear ile card ya mwarabu Sophian Feghoul na kukubalina na utetezi wa mark Dean na line two wake juu ya goli la kuotea la Zlatan Ibrahimovic..... Nikabaki nashangaa Mark Dean na line two wake wanaendelea kutesa katika kipenga kwenye viwanja vyao na tv zetu..... Hapa wanaheshimu sana sana maamuzi ya waamuzi.
Martin Saanya ni mmoja wa waamuzi bora sana na wenye sifa kubwa nje ya taifa letu...... Kumtengeneza Mwamuzi mwingine katika kipenga ambacho hakieshimiwi kimaamuzi mpaka aje afike alipofika Saanya ni atakuwa kafungiwa mara 50 katika career yake ya uamuzi. Mrudisheni Saanya bhn na maamuzi yake yaheshimike.
Pamoja na makosa wanayofanya, maamuzi yao tata Bado cluttenbuge, Atkinson na Dean ni miongoni mwa waamuzi bora kwa sasa ndani ya 10 bora ya waamuzi..... Yote ni sababu FA imewaheshimu na kuyaheshimu maamuzi yao na dunia nzima ikawaheshimu.
Sasa hivi Kocha haruhusiwi kumzungumzia Mwamuzi vibaya, mchezaji naye haruhusiwi kulalamika kwa kumnyooshea Mwamuzi mkono. Wanafanikiwa na wanaendelea kufanikiwa.
Bila waamuzi.... Bila kutengeneza waamuzi bora wenye kuaminiwa, wenye kuheshimiwa..... Itafika mahala tutawaleta waamuzi kutoka nje na timu kutoka nje ili tufurahie mpira wa WENZETU katika viwanja vyetu.
Next touch.... Mark Dean anapewa big match na anachezesha na uwanja utajaa na mpira utaisha na ataboronga na maamuzi yake yataheshimika na waingereza watakubaliana na matokeo...... Sababu hawaendagi na matokeo yao mifuko mwao.
Ahaaaaaaah kweli mkuu hatapeliwi mtuView attachment 466383
Epuka matapeli..
HahahaThe man on the penalty.... The penalty on the gloves.....
Mwenye picha ya hawa jamaa baada ya zile penalty wakiwa wanarudi home anitumie..... Kuna mtu tunabishana hapa maana huyo wa nyuma nasikia hajuagi kuendesha chombo.....
Penalty penalty penalty penalty penalty okay sio kesi wacha tukutane fainali maana nasikia man of the match wa fainal ataondoka na duka na friji kabisa Maana umeme itakuwepo muda wote.
Simba SC 0-0 Yanga SC (4-2 penalties)
Final....
Azam fc vs Simba SC.![]()
Nakuona upo kitambo hukuAhaaaaaaah katibu mm nipogo huku
Nimeupenda huu uzi nitakua naufuatilia sasa,hongera mkuu LeeWakuu huu uzi ni maalum kwa uchambuzi wa mpira kuanzia VPL mpaka EPL na ligi mbalimbali around the world .