Izack Mwanahapa
JF-Expert Member
- Apr 21, 2011
- 497
- 236
Spika wa Bunge la Jamuhuri wa muungano wa Tanzania amekiri uwezo walionao wabunge wa CHADEMA. Ameyasema hayo mara baada ya kupitishwa kwa mswada wa katiba mchana huu kwa kusema kuwa, "wabunge wa chadema hawajaitumia haki yao ya kuchangia mswada huu, nilittegemea mswada huu usingeisha leo, ungekaa wiki nzima kutokana na amendments ambazo wangeziwasilisha"
Hii ina maana kwamba mswada umepitishwa leo kutokana na wabunge walioshiriki mjadala ambao ni zaidi ya 300 kutotoa amendments za kutosha, hivyo kukosekana kwa mchango wa wabunge wa CDM kumedhoofisha maboresho ya mswada huo.
Hii ina maana kwamba mswada umepitishwa leo kutokana na wabunge walioshiriki mjadala ambao ni zaidi ya 300 kutotoa amendments za kutosha, hivyo kukosekana kwa mchango wa wabunge wa CDM kumedhoofisha maboresho ya mswada huo.