Spika siyo lazima atii Mahakama

Kama kuna issue itampa umaarufu na heshima duniani speaker tulia ackson ni hii ya wabunge waitwao covid 19

Mahakama haijapeleka barua hawezi fanyia kazi maneno ya mitandao na pia siyo lazima afate maamuzi ya mahakama bunge limejichimbia chini zaidi labda apende tu

Akiwatetea wanawake wenzake hakika feminists duniani watamxhukulia kama shujaa wao na bila shaka atakuwa president ajaye

Piga kazi spika usiwatoe hao achana naa makelele ya wanuka jasho hawana la kukufanya
Umeshindwa na mmeshindwa! Unadhani hizi ni enzi zenu zile? Halafu hujitambui wala huitambui katiba. Unajua mihimili mi3 ya nchi na autonomy ya kila muhimili?

Dictator tu ndiye asiyeona wala kujali kuwa kila mhimili una mamlaka na unajitegemea bila kuingiliwa na mwingine. Hakuna cha kujichimbia wala nini. Kama huamini subiri, upate majibu so soon!
 
Ama kweli wewe ni njaakalihatari maana unandika toka hewani, siyo akilini. Yaani just, AKIPENDA..

Yaani ni kusema kubwa tutakuwa tunaishi kwenye nchi ya "ANIMAL FARM" au basi sema "BANANA REPUBLIC" kwa sababu viongozi wetu watakuwa wanatoa maamuzi yao simply kwa sababu, watakuwa WANAPENDA..!!
Shule.....shule.,..!
Msamehe bure! Madhara ya kutoenda shule!!!
 
Kama kuna issue itampa umaarufu na heshima duniani speaker tulia ackson ni hii ya wabunge waitwao covid 19

Mahakama haijapeleka barua hawezi fanyia kazi maneno ya mitandao na pia siyo lazima afate maamuzi ya mahakama bunge limejichimbia chini zaidi labda apende tu

Akiwatetea wanawake wenzake hakika feminists duniani watamxhukulia kama shujaa wao na bila shaka atakuwa president ajaye

Piga kazi spika usiwatoe hao achana naa makelele ya wanuka jasho hawana la kukufanya
Nyie akina mama awamu hii mnakiburi sn
 
Mkuu hakuna hilo! Kwa sababu Supika alisema hawezi kuwafukuza Ubunge mpaka hapo Mahakama itakapotoa maamuzi kuhusiana na shauri walilopeleka mahakamani.Sasa Mahakama imetoa maamuzi atafanyaje?
Atasema hajapokea barua rasmi, anavuta muda mbunge livunjwe asuburi mwezi wa 9
 
Kama kuna issue itampa umaarufu na heshima duniani speaker tulia ackson ni hii ya wabunge waitwao covid 19

Mahakama haijapeleka barua hawezi fanyia kazi maneno ya mitandao na pia siyo lazima afate maamuzi ya mahakama bunge limejichimbia chini zaidi labda apende tu

Akiwatetea wanawake wenzake hakika feminists duniani watamxhukulia kama shujaa wao na bila shaka atakuwa president ajaye

Piga kazi spika usiwatoe hao achana naa makelele ya wanuka jasho hawana la kukufanya
Ajaribu

Sugu anapiga JARAMBA
 
Kwani we unaona nini kinaendelea mkuu? Hawatoki wale na hakuna mtu atanfanya kitu spika
Yawezekana ungependa sana akina Mdee waendelee kubaki bungeni hata baada ya shauri lao kutupwa na mahakama. Kwanza kwa mitazamo yako ovu, uliyoirithi kutoka kwa Dhalimu aliye endazake, watia aibu. LAKINI Waonaje ukisubiri yeye mwenyewe ndio atoe tamko lake.
 
Kama kuna issue itampa umaarufu na heshima duniani speaker tulia ackson ni hii ya wabunge waitwao covid 19

Mahakama haijapeleka barua hawezi fanyia kazi maneno ya mitandao na pia siyo lazima afate maamuzi ya mahakama bunge limejichimbia chini zaidi labda apende tu

Akiwatetea wanawake wenzake hakika feminists duniani watamxhukulia kama shujaa wao na bila shaka atakuwa president ajaye

Piga kazi spika usiwatoe hao achana naa makelele ya wanuka jasho hawana la kukufanya

Kwa hivyo alivyosema wasingeenda mahakamani angewafukuza alikuwa na maana gani? . Wameenda mahakamani wamepigwa Chini. Bora angenyamaza. Hakuna spika kilaza Kama huyo.
 
😁😁😁
16554546876670.jpg
 
Kama kuna issue itampa umaarufu na heshima duniani speaker tulia ackson ni hii ya wabunge waitwao covid 19

Mahakama haijapeleka barua hawezi fanyia kazi maneno ya mitandao na pia siyo lazima afate maamuzi ya mahakama bunge limejichimbia chini zaidi labda apende tu

Akiwatetea wanawake wenzake hakika feminists duniani watamxhukulia kama shujaa wao na bila shaka atakuwa president ajaye

Piga kazi spika usiwatoe hao achana naa makelele ya wanuka jasho hawana la kukufanya

Nchi haiendeshwi kwa matakwa ya mtu Bali sheria.
 
"Hawana la kufanya". Hii kauli huwa inatumiwa na MADIKTETA na huwa ndiyo inaamsha HASIRA ya umma.

Mmelewa madaraka, mnaona sasa wananchi kodi zao zitumike pasipo halali na hawana cha kufanya!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom