Musundi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 1,583
- 2,600
Umeshindwa na mmeshindwa! Unadhani hizi ni enzi zenu zile? Halafu hujitambui wala huitambui katiba. Unajua mihimili mi3 ya nchi na autonomy ya kila muhimili?Kama kuna issue itampa umaarufu na heshima duniani speaker tulia ackson ni hii ya wabunge waitwao covid 19
Mahakama haijapeleka barua hawezi fanyia kazi maneno ya mitandao na pia siyo lazima afate maamuzi ya mahakama bunge limejichimbia chini zaidi labda apende tu
Akiwatetea wanawake wenzake hakika feminists duniani watamxhukulia kama shujaa wao na bila shaka atakuwa president ajaye
Piga kazi spika usiwatoe hao achana naa makelele ya wanuka jasho hawana la kukufanya
Dictator tu ndiye asiyeona wala kujali kuwa kila mhimili una mamlaka na unajitegemea bila kuingiliwa na mwingine. Hakuna cha kujichimbia wala nini. Kama huamini subiri, upate majibu so soon!