Spika Sitta na Usiri wa Mikataba na majibu ya serikali

Kuna mtu alitoa wazo na kusema inastahili Malima ajiuzulu huo unaibu waziri. Baadhi ya waforum wakapinga na kusema watajiuzulu mawaziri wangapi kila wanapoboronga? Mwingine akatoa hoja ya kuanzisha thread ya kutathimini utendaji wa kila waziri tangu ameingia madarakani. Mimi nadhani hili ni wazo zuri sana. Iwekwe thread ya kila waziri mmoja mmoja pamoja na manaibu waziri wote. Then sisi kama members wa JF tutoe maoni yetu ikiwemo mifano juu ya kauli zao na utendaji wao kwa ujumla. Then mwisho wa siku we can compile like a summary kwa kila waziri and even rate their performance. Then hii list anaweza kuichukua Dr Slaa au Zitto kutoka huku kwenye forum na kuipublicize kwa wananchi kama ile list of shame.

Nadhani kwa mtiririko kama huo, the likes of Malima and Masha will be out of poilitics before 2010 general elections. Haingii akilini kuendelea kuwa na watendaji wabovu kwenye serikali yetu kiasi hiki.
 
Hawa vijana wawili Masha na Malima hawafai kabisa kuwa mawaziri kwa sababu hawana busara wala adabu vitu muhimu kwa kila anayeongoza watu; juu ya hayo Masha kama waziri wa mambo ya ndani anayeshuhulikia uhamiaji, anajua kuwa ni kosa la jinai kuwa na uraia wa nchi mbili lakini kuna mtu kanitonya kuwa Masha ana GREEN CARD ya USA!! Sasa kama hiyo ni kweli, si tu hafai kuwa waziri wa mambo ya ndani bali anafaa kupelekwa lupango!! Sasa nadhani vyombo vya dola vinaweza kulifuatilia suala hili kupata ukweli wake.
 
Hawa vijana wawili Masha na Malima hawafai kabisa kuwa mawaziri kwa sababu hawana busara wala adabu vitu muhimu kwa kila anayeongoza watu; juu ya hayo Masha kama waziri wa mambo ya ndani anayeshuhulikia uhamiaji, anajua kuwa ni kosa la jinai kuwa na uraia wa nchi mbili lakini kuna mtu kanitonya kuwa Masha ana GREEN CARD ya USA!! Sasa kama hiyo ni kweli, si tu hafai kuwa waziri wa mambo ya ndani bali anafaa kupelekwa lupango!! Sasa nadhani vyombo vya dola vinaweza kulifuatilia suala hili kupata ukweli wake.

Balali ameishi Gavana wa BOT maisha yake yote wakati kumbe ni MtanzaMerika. Ila ni muhimu sana tukajua hizo personal issues za viongozi maana unaeza kukuta hata JK mwenyewe si Raia wa Tanzania maana Mabano aliyo nayo wa wakuu wa US yanatutisha. Green card imekuwa cheap Business nowadayz ila jamani lazima tuwaanike hawa viongozi wetu ambao nusu watanzania nusu Wageni. hivi hata LAZARO Mmbunge atakuwa hana Green Card kweli maana alikuwa anaililia sana Dual Citizenship hebu wanaojua mwageni mwageni data nasi tujue
 
Haya ya kina malima ni matokeo ya malezi ya kina SITTA wenyewe!!!!!

Huu uwazi anaolilia leo alitakiwa autende mwenyewe ili iwe practical example kwa vijana kama Malina. Sitta anaweza kutueleza alipokuwa mkuu wa kituo cha uwekezaji alikuwa muwazi kiasi gani???????

Hivi mwamkumbuka, sita alivyokuwa anakandia (kupitia kipindi cha luninga) makablasha yaliyowasilishwa kwake na Mh. Slaa kuhusu ufisadi wa EPA?????.

Kwangu mimi hii ni biashara ya Mbwa kala Mbwa tu!!!!!

Mikataba inayo ingiwa kati ya innji yetu na makampuni ya biashara inatakiwa iwe wazi na pia Vita dhidi ya ufisadi yatakiwa iwe wazi na kweli

Na askari wa kuongoza vita hiyo upande wa bunge si SITTA, twahitaji spika mwenye historia safi!!!!!!!!!

Kama ikibidi, lazima awe mwana CCM (Kwakuwa wabunge wanachagua chama si uwezo wa mtu) basi wampe mwakyembe!!!!!!
 
Adam Malima ni mtu ambaye amepata hela kwa njia za utata. Prof Kighoma Malima alikuwa na matatizo fulani kuhusu hela zake. Hata viongozi wa Kiislamu walikuwa wanamtetea,wanasema,Prof. Malima anasemwa sana kwa vile yeye ni Mwislamu,angekuwa ni Mkristu asingesemwa sana. Haya mambo Khalifa Khamisi alikuwa anayasema mara kwa mara katika Msikiti wa Mtoro.
Kwa hiyo,tungetegemea kwamba Adama Malima angekuwa myenyekevu zaidi katika mahusiano yake na watu wengine,kama vile ambavyo Prof. Malima alikuwa ni mtu muungwana sana.
 
1
. Hawa vijana wawili Masha na Malima hawafai kabisa kuwa mawaziri kwa sababu hawana busara wala adabu vitu muhimu kwa kila anayeongoza watu;

- Labda ungeweka wazi ni viongozi gani nchini wanaotimiza haya maadili unayoyasema, yaani ya busara na adabu hebu wataje mkuu!

2.
juu ya hayo Masha kama waziri wa mambo ya ndani anayeshuhulikia uhamiaji, anajua kuwa ni kosa la jinai kuwa na uraia wa nchi mbili lakini kuna mtu kanitonya kuwa Masha ana GREEN CARD ya USA!!

Sasa kama hiyo ni kweli, si tu hafai kuwa waziri wa mambo ya ndani bali anafaa kupelekwa lupango!! Sasa nadhani vyombo vya dola vinaweza kulifuatilia suala hili kupata ukweli wake.

- Kuwa na green card sio uraia naona unachanganya ishus hapo, Balali alikuwa gavana wa BOT na alikua nayo, unajua kuna wakati nilifikiri you are for real kumbe ni yale yale ya rais kutojiamini una ernegy sana bros.
 
Huyu Masha katika thread hii kaingiaje???!!!

Masha, umegusa pabaya!!! umeshika ng'e pa nkia!!!!!
 
Mr Six aliifanyia ajizi hoja ya Dr. Slaa ya EPA isiende mbele bungeni lakini ikaibukia mwembe yanga na imezaa matunda!!
 
Field Marshall mkuu, energy ninayo, sijachanganya issues hapa kwa Daudi Balali kuwa na residency hakuhalalisha kuwa ni halali kwa mtanzania kuwa na foreign residency!! Kama unavyotaka tuamini kuwa wewe unayafahamu haya mambo ya ya uhamiaji ebu mwaga hapa janvini kama inakubalika kuwa na residence ya nchi za nje? To me having residency ya foreign country implies dual loyalty which can easily be a secutrity risk especially kama una cheo kikubwa serikalini na una elements za kifisadi!!. Kwa taarifa yako Masha is one of proponents wa kutaka sheria ya dual citizenship ipitishwe nchini. Nawasilisha mkuu.
 
Field Marshall mkuu,it is up to you to judge kama I am for real or not lakini kitu kimoja nitakuhakishia kuwa mimi sikusoma shule kupitia vidatu bali middle school wakati huo mpaka std viii. na baada ya hapo elimu yangu sikuipata kupitia internet kwanza haikuwepo but as they say I went through the tunnel. Sasa nakutajia mfano wa kiongozi mmoja tu wa sasa, rika ya hawa mafisadi wawili ambaye ni msomi,ana adabu na pia busara; DR.ASHA- ROSE MTENGETI MIGIRO. You have the liberty to differ with my evaluation.
 
Back
Top Bottom