MwalimuZawadi
JF-Expert Member
- Sep 1, 2007
- 643
- 68
Mazuzu maheshimiwa yote yatajikamatisha mwaka huu, kila moja kwa nafasi yake atanena kwa kinywa chake ujinga wake. Malima wewe tulia kijana, mapafu huna Watanzania wamejanjaruka. Unajitega mwenyewe, ushindani upi? kwa biashara ipi?