Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 3,804
- 8,797
Mambo ni hivi
unataka mkeo apate mshahara sawa na wakurugenzi wenye profwssional zao?Spika Ndugai ameshangazwa na serikali kuwalipa mishahara mikubwa wakurugenzi wa mamlaka ya maji na ile ya barabara za vijijini ambayo ni zaidi ya mishahara wanayolipwa Wakurugenzi wa wilaya...
spika hajui kitu yy ni bora liende maana hajui hata mchakato wa kupandisha mishahara ya watendaji wa mamlaka hizo unaanzia wapi na nani alipisha sheria za kuanzisha hizo mamlaka na yy na wabunge wake.this is shamefulNatumai sheria zilioanzisha taasisi hizi zilipitishwa hapo hapo mjengoni, na mishahara yao haipangwi gizani kuna mamlaka zinaridhia na kupitisha. Mshangao kama huu ni wa kinafiki sana.
Acha na sie tushangae kama yeye!
Baada ya Magufuli kuondoka nyumbani kwa Ndugai vyuma vimekaza, anataka mke wake DED aongezwe mshahara!Spika Ndugai ameshangazwa na serikali kuwalipa mishahara mikubwa wakurugenzi wa mamlaka ya maji na ile ya barabara za vijijini ambayo ni zaidi ya mishahara wanayolipwa Wakurugenzi wa wilaya.
Ndugai amesema hayo akimuunga mkono mbunge wa Gairo mh Shabiby aliyedai wakurugenzi wa Tarura na Ruwasa wamejigeuza miungu watu.
AiseeeSpika Ndugai ameshangazwa na serikali kuwalipa mishahara mikubwa wakurugenzi wa mamlaka ya maji na ile ya barabara za vijijini ambayo ni zaidi ya mishahara wanayolipwa Wakurugenzi wa wilaya.
Ndugai amesema hayo akimuunga mkono mbunge wa Gairo mh Shabiby aliyedai wakurugenzi wa Tarura na Ruwasa wamejigeuza miungu watu.
Ramadhan Kareem!
View attachment 1753300