Jamani ndugai hajasema hajui lissu aliko! Ofisi ya spika(bunge) haina taarifa Mbunge wa Singida Mashariki alipo. Tofautisha Ndugai na Ofisi ya Spika(bunge). Ofisi inao utaratibu wake wa kufahamishwa. Na ufahamu kuwa Ndugai hana bunge, bunge ni la Tanzania.Anaandika #Bollen_Ngeti
SPIKA NDUGAI ANATAKA LISSU AFE??
KITENDO cha Bunge la Ndugai kumfutia mshahara na posho zingine za kibunge Tundu Lissu ni unyama na ushahidi wa dhahiri kuwa Spika Job Ndugai akibanwa anaweza walau kusaidia kujua waliopanga kumuua kwa mabunduki Lissu September 7, 2017.
Mwanzoni nilijua ni kauli tu za kisiasa lakini kwa Ndugai kuamua kweli kumfutia mshahara Lissu ni jaribio jingine la kutaka kumuua Lissu na safari hii naona wanataka afe kwa njaa na familia yake.
Risasi 16 zilishindikana kumuua Lissu baada ya Mungu kusimamia "show". Jaribio la pili lilikuwa ni kumfutia dhamana ili akamatwe na Interpol aswekwe ndani na magongo yake na majeraha. Hakika angekufa kwa mateso na uchungu. Hili nalo Mungu akaepusha. Mahakama ikakataa. Safari hii naona njia sahihi iliyochaguliwa ni kumfutia mshahara Lissu ili afe kwa njaa, watoto wasiende shule, ndugu tegemezi waathirike. Huku ni kumuua Lissu na ni uthibitisho kuwa nguvu ya kummaliza Lissu ni kubwa mno kiasi kwamba bila Mungu Lissu si kitu!
Ndugai anadai hajui aliko Lissu na anafanya nini huko asikojua. Ndugai akumbushwe tu kwamba Lissu yuko hospitali huko Ubelgiji akipatiwa matibabu baada ya kupigwa risaso 38 na 16 kumuingia mwilini na hivi karibuni amemaliza kufanyiwa upasuaji wa 23. Anasubiri uamuzi wa madaktari kumruhusu kutoka au la!
Lissu ni Mtanzania kama wewe na mimi. Ana ndugu, jamaa na marafiki hata ndani ya Mafikizolo, Chadema, Inzile, Gweregwere, CUF, jeshini, TISS, vyuoni, Magogoni nakadhalika! Tumuombee apone ili awatumikie wananchi wake. Tofauti zetu kisiasa zisitutofautishe hadi kufikia kuuana kwa njaa. Wabunge wote unganeni kumpinga Ndugai, pigeni kelele hadi nchi za mbali kupinga uamuzi huu wa Ndugai. Kumbukeni wakimmaliza Lissu watakugeukieni na ninyi. Hakuna aliye salama kwa sasa!
#AchaWoga2020
huyo aliyefutiwa posho huishi katika nyumba gani?Hivi kama wamezuia mshahara na posho, nadhani bado kumvua ubunge tuu
Pia hao viongozi wanaojipangia mishahara minono na posho za kutosha wakitembelea magari yenye viyoyozi na kuishi majumba ya kifalume huku wapiga kula wakirundikiwa kodi, na kuishi maisha ya kuunga unga, Mungu anawaona mwisho wao upo tu
Halafu Kwenye camera unasikia tanasema uchumi umezidi kuimarika,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenyezi Mungu akusamehe na kukupa hekima wakati ujao.Ndungai na bunge zima nawapongeza kwa kufuata taratibu na kanuni walizojiwekea.
Haiwezekani mtu anakula posho na mshahara ambao ajaufanyia kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama aliweza kwenda mataifa ya nje na kufanyiwa mahojiano na vyombo vya habari anashindwaje kurudi TZ na kufatilia maslahi yake.Mkuu lengo lilikua ni kumfunga mdomo nankumrudisha home mzururaji. Nafikiri lengo limetimia
Nimrod Mkono, Ndugai, prof Mwandosya nk nk ni miongoni mwa wabunge wa CCM waliokaa nje ya nchi huku wakilipwa. Na hujanung'unika, iweje nongwa kwa Lissu ???!!!!Ndungai na bunge zima nawapongeza kwa kufuata taratibu na kanuni walizojiwekea.
Haiwezekani mtu anakula posho na mshahara ambao ajaufanyia kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilimjibu moja wa aina hii nilipigwa BAN ya Saa 6. Naomba nijizuieTaratibu na kanuni haziangalii sura usipozifuata kufa tu tutakuzika.
Mimi nina Imani kuwa Sio Ndugai pekeee hamuwaoni hao hapo gizani nyuma ya Spika. Mbona mimi nawaona.Huyu mgogo alaaniwe yeye na kizazi chake
Ndugai naye zamu yake ya kusulubiwa inakaribia... haiko mbali!Anaandika #Bollen_Ngeti
SPIKA NDUGAI ANATAKA LISSU AFE??
KITENDO cha Bunge la Ndugai kumfutia mshahara na posho zingine za kibunge Tundu Lissu ni unyama na ushahidi wa dhahiri kuwa Spika Job Ndugai akibanwa anaweza walau kusaidia kujua waliopanga kumuua kwa mabunduki Lissu September 7, 2017.
Mwanzoni nilijua ni kauli tu za kisiasa lakini kwa Ndugai kuamua kweli kumfutia mshahara Lissu ni jaribio jingine la kutaka kumuua Lissu na safari hii naona wanataka afe kwa njaa na familia yake.
Risasi 16 zilishindikana kumuua Lissu baada ya Mungu kusimamia "show". Jaribio la pili lilikuwa ni kumfutia dhamana ili akamatwe na Interpol aswekwe ndani na magongo yake na majeraha. Hakika angekufa kwa mateso na uchungu. Hili nalo Mungu akaepusha. Mahakama ikakataa. Safari hii naona njia sahihi iliyochaguliwa ni kumfutia mshahara Lissu ili afe kwa njaa, watoto wasiende shule, ndugu tegemezi waathirike. Huku ni kumuua Lissu na ni uthibitisho kuwa nguvu ya kummaliza Lissu ni kubwa mno kiasi kwamba bila Mungu Lissu si kitu!
Ndugai anadai hajui aliko Lissu na anafanya nini huko asikojua. Ndugai akumbushwe tu kwamba Lissu yuko hospitali huko Ubelgiji akipatiwa matibabu baada ya kupigwa risaso 38 na 16 kumuingia mwilini na hivi karibuni amemaliza kufanyiwa upasuaji wa 23. Anasubiri uamuzi wa madaktari kumruhusu kutoka au la!
Lissu ni Mtanzania kama wewe na mimi. Ana ndugu, jamaa na marafiki hata ndani ya Mafikizolo, Chadema, Inzile, Gweregwere, CUF, jeshini, TISS, vyuoni, Magogoni nakadhalika! Tumuombee apone ili awatumikie wananchi wake. Tofauti zetu kisiasa zisitutofautishe hadi kufikia kuuana kwa njaa. Wabunge wote unganeni kumpinga Ndugai, pigeni kelele hadi nchi za mbali kupinga uamuzi huu wa Ndugai. Kumbukeni wakimmaliza Lissu watakugeukieni na ninyi. Hakuna aliye salama kwa sasa!
#AchaWoga2020
Si alikua anaendelea kula mshahara na posho..now zimekata..hana altenative..zaidi yak kurudi nyumbani..ni kama mbwa aliyekatwa mkiaKama aliweza kwenda mataifa ya nje na kufanyiwa mahojiano na vyombo vya habari anashindwaje kurudi TZ na kufatilia maslahi yake.
hapa umeandika ujingaNdungai na bunge zima nawapongeza kwa kufuata taratibu na kanuni walizojiwekea.
Haiwezekani mtu anakula posho na mshahara ambao ajaufanyia kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Du! Wao watakufa pia kabla ya lissu!zinazofahamika ni kwamba Job Ndugai ni miongoni mwa walioshiriki kikao cha kupanga Mauaji ya Lissu
Kwanini umesoma ujinga na ku comment?hapa umeandika ujinga
ILA AJUE TU KUWA WATU WAKIKUSEMA VIBAYA, TENA KWA UBAYA WAKO, JUA UNAJITAFUTIA LAANA, LAANA NI MBAYA SANA.Taarifa zinazofahamika ni kwamba Job Ndugai ni miongoni mwa walioshiriki kikao cha kupanga Mauaji ya Lissu
Du! Wao watakufa pia kabla ya lissu!
Aisee.....Ndugai alipokuwa India na Hela akawa anapewa alikuwa anaifanyia kazi?Ndungai na bunge zima nawapongeza kwa kufuata taratibu na kanuni walizojiwekea.
Haiwezekani mtu anakula posho na mshahara ambao ajaufanyia kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app