Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 57,600
- 96,606
Yani yeye akizani Rais anaweza kuchezewa kama Pasco?Rekebisha kidogo heading ni
"Nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana "
Spika kawa mdogo kama piriton!
P
Uspika wa Ndugai unashikiliwa na kadi ya ccm, wakichukuwa kadi yao uspika na ubunge kwishney.
Rais ni jambo lingine kabisa, nadhani leo Humphrey Polepole atakuwa amepata clear msg kwamba wanaokwambia tupo nyuma yako yakikukuta ukigeuka nyuma hutowaona.