Ndio mwisho wa story ya mtu, after that maisha yanaendelea kama kawakifo ndo mwisho wa ulimwengu, Na utasahaulika, same kama ulivokua haujulikani ulivokua manii kwenye korodani za baba ako
Hayo ndo maisha ukikielewa kifo umeyaelewa maishaView attachment 3485762
Spika ndugai: Kasha sahaulika pesa wanakula wengine!. Mafao makubwa alipewa na akafikiri atakuwa mbunge na kujiona ni Mungu mtu sasa ni mwendazake
Tendeni haki! somo.
wapenda maraka hawakusubiri
View attachment 3485768
Tenda Mema ukiwa hai
View attachment 3485770