Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 16,505
- 41,015
Unachoongea siyo kweli. Walimu hawapigiwi kura bali ni qualification.Kwa ratio hiyo sioni tatizo hapo. Kumbuka kanda ya ziwa ndio kanda yenye mikoa mingi na watu wengi kwahivyo ata namba ya wahitimu lazima iwe kubwa kulinganisha na kanda zingine.
Random sampling:
Wanafunzi wa vyuo vikuu kwa miaka mingi:
1) Kagera
2) Kilimanjaro
3) Mbeya
4) Iringa
Uwiano huo huo unauona kwa wakufunzi.
Kwenye population, mikoa ya kanda ya Ziwa ina-count 10% ya population yote.