dini,kabila na maeneo atokayo mtu sio kigezo cha kupewa kazi au uteuzi, ujuzi,elimu na weledi ktk kazi ndivyo vinaamua, dini wakachuguane huko kwenye dini zao, na makabila huko wanakoenda kutambika. Tanzania haina dini wala haina kabila, Tanzania ni ya Watanzania wote.Mhe. Ndugai amenena jambo la muhimu sana kwa Taifa letu, jambo ambalo wengi walilifumbia macho lkn lina hatarisha umoja wa taifa letu nalo ni mgawanyo wa ajira na nafasi za uteuzi serikalini ulio sawia na wa haki, kimaeneo na hata kiimani, sio sahihi kujaza ktk utumishi wa umma watu wa aina mmoja halafu wengine wengi wakatupwa nje, hilo sio sahihi kabisa kwa ustawi na uzalendo wa taifa letu, lazima jambo hilo.litazamwe kwa kuzingatia sifa, usawa wa maeneo na hata usawa wa imani zote kushiriki ktk ujenzi wa taifa lao utaleta na kuimarisha uzalendo.
kama tuna bisha kauli ya Mhe. Spika nashauri kila taasisi ya Serikali ifanye utafiti kubaini ukweli, na utaona kuna aina ya watu fulani ndio wame hodhi karibu nafasi zote ktk taasisi za serikali.